kwa ujumla hiii sheria itungwe wamekua chanzo cha migogoro mingi sana, yaan bora hats waganga was kienyeji. kuna wengine hata siio mapasta ila ndo wamejipachika upasta ikibid watajwe humu kabisaKutokana na ujanja kuzidi kwenye taasisi hizi za dini na baadhi ya watu kugeuza biashara,sheria ya kuwabana manabii na mitume ipo mbio kutungwa ili kuleta udhibiti kwa wale wote wasio na nia njema.
nchi hii haina dini, ila watu wake ndiyo wenye dini.
Hivi kumbe Yesu naye alilipa kodi? Tusaidie na kifungu kabisa tuongeze ufahamu.Mmi nadhani ni wazo zuri maana huo ni wajibu wa serikali. Ila naona wangelipa kodi tu vizuri ili viwe vyanzo vya mapato serikalini viongezeke. Na pia kama Yesu mwenyewe alilipa kodi kwann wao wasilipe? Hii ingewapa hata wao nguvu ya kuibana serikali ktk baadhi ya mambo tofauti na ilivyo sasa. Elimu zao zijulikane na mapato yao pia nni wafanye na nni wasifanye
hiyo sheria ianze kwanza kuthibitisha utume wa kina mo kabla ya wengine wote.Kutokana na ujanja kuzidi kwenye taasisi hizi za dini na baadhi ya watu kugeuza biashara,sheria ya kuwabana manabii na mitume ipo mbio kutungwa ili kuleta udhibiti kwa wale wote wasio na nia njema.
Nawe unajiita una akili?hiyo sheria ianze kwanza kuthibitisha utume wa kina mo kabla ya wengine wote.
Kutokana na ujanja kuzidi kwenye taasisi hizi za dini na baadhi ya watu kugeuza biashara,sheria ya kuwabana manabii na mitume ipo mbio kutungwa ili kuleta udhibiti kwa wale wote wasio na nia njema.
soma mathayo 17:24-27 inasema hivi:Hivi kumbe Yesu naye alilipa kodi? Tusaidie na kifungu kabisa tuongeze ufahamu.
Hivi zaka sikuhizi ni kodi?soma mathayo 17:24-27 inasema hivi:
Walipofika Kafarnaumu watu wenye kukusanya fedha ya zaka ya Hekalu walimwendea Petro, wakamwuliza, "Je, mwalimu wenu hulipa fedha ya zaka?" 25 Petro akajibu, "Naam, hulipa." Basi, Petro alipoingia ndani ya nyumba, kabla hata hajasema neno, Yesu akamwuliza, "Simoni, wewe unaonaje? Wafalme wa dunia hukusanya ushuru au kodi kutoka kwa kina nani? Kutoka kwa wananchi ama kutoka kwa wageni?" 26 Petro akajibu, "Kutoka kwa wageni." Yesu akamwambia, "Haya basi, wananchi hawahusiki. 27 Lakini kusudi tusiwakwaze, nenda ziwani ukatupe ndoana; chukua samaki wa kwanza atakayenaswa, fungua kinywa chake, na ndani utakuta fedha taslimu ya zaka. Ichukue ukawape kwa ajili yangu na kwa ajili yako."
Kutokana na ujanja kuzidi kwenye taasisi hizi za dini na baadhi ya watu kugeuza biashara,sheria ya kuwabana manabii na mitume ipo mbio kutungwa ili kuleta udhibiti kwa wale wote wasio na nia njema.