Sheria ya kupiga marufuku kueneza Ukristo Israel jela miaka 2

kumbe hata hujui nini maana mitume na holidays za kidini. wayahudi hawana chrismass wana kitabu chao kkitwacho Tolati na nabii wao ni Moses. wakristo tuna kitabu chetu cha injiri na nabii aliyeleta injiri ni emanuel na ndiyo maana tuna sherehekea siku yake ya kuzaliwa Xmass na siku yake ya kufa Masaka. myahudi hana hizo sikuu za kikristo kwa sababu yeyey ni mfuasi wa moses aliyeleta tolat. ni sawa ya wapenzi wa yanga hasherehekei Simba day wala wa simba hasherekei mwananchi day. sabau kuu ikiwa itikadi tofauti za upenzi wa soka walizonazo washabiki.
hatutaaacha kuwapenda wayahudi hata msemeje. wewe ngoje mwishoni wa april ndipo uakapoona mapenzi yetu kwa wajukuu wa Rebeca. kuna mtu analizwa hapo masharikin ya kati!
Screenshot_20230417-013621_Messages.jpg

Wewe ongea kishabiki wakati upo buza while wenzako tuko deep hadi tunawala watoto wa kijewish,wewe kaa hapo buza na brainwash yako 😂,nakupa reality nachokiona wewe unaleta hisia 😂
 
Acha kututisha wewe sisi tutabaki waisrael mpaka kufa. hilo ni wazo la mtu binafsi na sio bungeni kumepitisha amri hiyo. uchafu upo uarabuni kuchukia wakristo. ISIS iliuwa coptic chrisrian 42 kwa kuwachinja kama kuku je wewe uliikana dini yako ya kiislamu kwa kutokemea unyama huo? mbona ulin
baki na dini yako mpaka leo. Al_shabab mwaka jana kauwa raia mia tano kwa kulipua bomu ndani ya gali l mafuta na wakifanya shoping sokoni pale mogadishu, je wewe uliikana dini yako kwa haibu hiyo? mbona milifunga pamoja ramadhani?
Yaani hapo ndio ujinga wa Wakristo wenye akili fupi kama wewe... yaani hadi leo bado hujaelewa Kama ISIS wala Al Shabab wala Alqaida hawawakilishi waislamu??? Kwa sababu hujui na hujui kama hujui.

Laiti ungefungua macho kufuatilia angeshajua kuwa kuna majina mengi ya viongozi wa Kiisilamu.walishawekwa kwenye list ya hayo makundi uliyoyataja kwa kukemea wanachofanya..... sasa wewe bado una akili za 1999.

Halafu, utajipendekeza na Israel lakini ukweli ni kuwa Israel hawawakubali Wakristu, wala Yesu...ni Bora Waislam wanamkubali na kumuheshimu Yesu, ingawa hatukubaliani na madai yenu ya kumuita Mungu wala mwana wa Mungu.

Nenda kasome historia vizuri, ingekuwa waislam wanataka kuwauwa wakristo hadi sasa Mashariki ya kati kusingekuwa na Mkiristo hata mmoja...lakini wapo wengi tu kule.
 
Haifa,tel aviv,ashdood ni kawaida kusikia adhana ya kiislam,na ukiingia deep Islam na jewish tofauti ni ndogo sana,sasa huku ukute wakristo wa buza wanavyoinyenyekea israel 😃
Inaeleweka kabisa kuwa Jewish na waislam ndio wapo wengi, ila Waislamu wa kwampalange hawataki kuelewa
 
Israel new proposal law banning spread of Christianity in Israel

Legislation, if passed, would send violators to prison for 1–2 years



Forbidden to talk about Jesus": shock proposal in Israel

RELIGIOUS FREEDOM


An extreme right-wing Jewish party, in government, has proposed an anti-conversion law that specifically targets Christian missions. Immediate international protests, especially from the USA. Netanyahu promises to block it. But incidents of violence against Christians are growing.

[https://newdailycompass]

[https://newdailycompass]

First came the judicial reform to make it dependent on politics, now there’s a bill in the pipeline to block religious freedom in Israel. These are the flagships of the government led by Benjamin Netanyahu, leader of a coalition composed of parties from the extreme nationalist right.

If the first issue, i.e. judicial reform, has prompted numerous demonstrations organised throughout Israel, involving thousands of citizens, roadblocks, clashes with the police, and arrests, the second has created bewilderment and concern among Christians in the Holy Land, the land where Jesus was born and from where the Gospel message spread throughout the world.

On 9 January, without disclosing what they were about to do, two deputies of the United Torah Judaism party, Moshe Gafni and Yaakov Asher, presented a bill called "Prohibition of Proselytism for Religious Conversion", which would expressly prohibit evangelisation, declaring illegal any type of proclamation that refers to the figure of Jesus Christ and his teachings. According to them, some groups, particularly 'Christian missionaries', have intensified their efforts to convert Jews. If the bill is passed, punishments of up to one year in prison are envisaged for offenders, a punishment that would increase to two years “if the recipient of the message is a minor”.
The bill would prevent the possibility of “speaking to persuade or convert a person of a different faith, through personal interviews, but also through the use of mail or videos”. This is a one-way law that the two Knesset members want. After the break-up of the USSR, many citizens of the former Soviet empire chose to move to Israel and became Jews out of conviction or for convenience, but no one has thought of proposing legislation to prevent this. This is what the leaders of the Christian Churches say.

But what is happening now in Israel is a bolt from the blue. The news was spread by a Messianic Jew, of the Trinity Broadcasting Network. Reactions from Christians were immediate. The harshest rejection came from American evangelicals, who are an important support to Israeli policy in the United States and who are present and very active in Israel. The bishops of the Holy Land are not hiding their concern either. The Foreign Ministry has been inundated with phone calls from ambassadors, consuls, Christian leaders, and Jews from all over the world urging the Foreign Minister, Eli Cohen, to prevent the draft law from becoming enforceable. Prime Minister Netanyahu hastened to publish a statement on Twitter in Hebrew and English: "No law against the Christian community will pass".

The climate of tension in Israel increases day by day. Since the beginning of the year, 14 Israelis and 85 Palestinians have died. Churches and other places where Christians gather are being raided by extremists of the Israeli ultra-right. Only a few days ago two terrorist attacks were carried out by Jewish extremists: the first in Nazareth, where shots were fired at a school and a convent of Franciscan nuns, and the other, in Jerusalem, at the Church of the Tomb of Mary, located at the foot of the Mount of Olives and owned jointly by the Greek Orthodox and the Armenians, according to the status quo regulations. A harsh condemnation came from the Greek Orthodox Patriarchate of Jerusalem and Patriarch Theophilos III, who highlighted the "ferocious terrorist attack" that saw the perpetrators, two Jewish extremists - according to witnesses, one was wearing a "yarmulke" (the traditional Jewish headdress) and the other a "tzitzit" (shawl) - enter the holy place with an iron bar, trying to hit the celebrant. The police, through a spokesman, said that a man had been arrested, but gave no further information.

In this climate of anti-Christian tension, protests against justice reform continue to mount. On Thursday a 'Day of Paralysis' was declared in Israel. Numerous protesters were arrested, while police used water cannons and mounted officers to disperse the demonstrators. The motorway was also cut off and cleared by the police after three hours. During the night, the helicopter landing area near Prime Minister Benjamin Netanyahu's Caesarea residence was occupied and protestors displayed posters outside the homes of senior members of his party, the Likud, for the role played by this political formation in the attempted legislative change that could seriously endanger Israeli democracy itself
Dah Wakristo Poleni sanaaa mumepigwa na kitu kizito kichwani yni taifa teule linakataa musisambaze dini yenu ohooo akili kumkichwa jameni

Ukristo ni dini ya upigaji sio dini ya kweli amkeni jamanii mtakuja juta nyie

Taifa teule linawakataa hivi hivi yani
 
haya ni mawazo ya mtu binafsi kutaka chama chake kifanye hivyo. kuna chama kingine kinataka kuhalalisha bange, na kingine kimoja kinataka mashoga wapewe haki. sasa bunge la Israel litapitisha wazo a mtu binafsi? mbona hapa tanzania mwaka fulani kuna kiongozi alipendekeza kupiga marifuku sinema za western na kutaka za filamu za Urusi tuu tutumie majukwaani na cinama halls. je wazo lake lilipita halmashauli kuu? si lilikataliwa vibaya kuwanyima vijana starehe yao.

hivi vyama vidogovidogo ni SIDO ndani ya NDC achana navyo mawazo yao.
mIMI NI SPIRITUAL JEW NA NITAIPENDA ISRAEL MPAKA KUFA!!
Akili za Kitumwa na umaskini wa fikra vinakusumbua.
 
Back
Top Bottom