Mromboo
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 3,070
- 6,897
wewe endelea kushabikia tu ila uombe mungu pia usijepatwe na hayo matukio kama kumzika ndugu yako, ama kumwagiwa tindikali, n.k. Yule dereva wa mwigulu alikuwa ana kosa gani? Alichofanyiwa na cdm ni cha kulaani. Kwa kauli yako ni sawa na kuunga mkono na kushangilia uovu ule. Omba Mungu yasikupate! Unaweza ukakaa bar unakunywa kwa starehe zako, ikarushwa chupa ikakujeruhi japo hukulengwa!
hebu acha siasa. ongelaea pande zote ili tujue mbivu na mbichi. Kwani yule Padri wa Ethodox aliwafanyaje vijana wa UVCCM mpaka wakampiga? jaribu kutoa boriti lenu ndipo muone vibanzi vya wenzenu.