Sheria ya kukifungia CHADEMA iko wapi?

Sheria ya kukifungia CHADEMA iko wapi?

sirluta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2012
Posts
6,324
Reaction score
2,494
Tangu maandamano yaliyopelekea watu wasio na hatia kufa Arusha, CHADEMA kimekuwa chama cha MAOVU tangu siku hiyo hadi leo. Hakuna asiyefahamu uovu huo unaoongozwa na viongozi wao; MAUAJI, KUJERUHI, KUHARIBU MALI, UPORAJI na UKABAJI KWENYE MAANDAMANO, UTEKAJI, KUTISHIA AMANI YA NCHI, KUHAMASISHA UVUNJAJI WA KANUNI NA SHERIA ZA NCHI, KUTENGENEZA WAVIVU WA KUCHANGIA SHUGHULI ZA MAENDELEO, UPINGAJI WA KILA KITU, MACHAFUKO na mengine mengi.

Tumekuwa tukisikia magazeti kufungiwa, vituo vya tv, radio, timu za mipira, n.k kwa kukiuka maadili.
Inakuwaje chama hiki hakijafungiwa ama kufutwa kabisa kwa uovu huu uliokithiri?
Ni dhahiri msajili wa vyama hajapewa meno ya kutosha. Hii taasis ya usajili wa vyama yapaswa kupewa meno makali kwa mustakabadhi wa siasa safi na ya kistaarabu. Matukio yanayofanywa na chama hiki siyo ya kibinadamu bali ni ya kishetani, kihaini, kigaidi, eta kwa sababu tu kina usajili na kipo kihalali na kisheria.
Pamoja na sheria za uchaguzi zinazotungwa, ni vema zikawepo sheria kali za kuthibiti vyama vya siasa.
 
Tangu maandamano yaliyopelekea watu wasio na hatia kufa Arusha, CHADEMA kimekuwa chama cha MAOVU tangu siku hiyo hadi leo. Hakuna asiyefahamu uovu huo unaoongozwa na viongozi wao; MAUAJI, KUJERUHI, KUHARIBU MALI, UPORAJI na UKABAJI KWENYE MAANDAMANO, UTEKAJI, KUTISHIA AMANI YA NCHI, KUHAMASISHA UVUNJAJI WA KANUNI NA SHERIA ZA NCHI, KUTENGENEZA WAVIVU WA KUCHANGIA SHUGHULI ZA MAENDELEO, UPINGAJI WA KILA KITU, MACHAFUKO na mengine mengi.

Tumekuwa tukisikia magazeti kufungiwa, vituo vya tv, radio, timu za mipira, n.k kwa kukiuka maadili.
Inakuwaje chama hiki hakijafungiwa ama kufutwa kabisa kwa uovu huu uliokithiri?
Ni dhahiri msajili wa vyama hajapewa meno ya kutosha. Hii taasis ya usajili wa vyama yapaswa kupewa meno makali kwa mustakabadhi wa siasa safi na ya kistaarabu. Matukio yanayofanywa na chama hiki siyo ya kibinadamu bali ni ya kishetani, kihaini, kigaidi, eta kwa sababu tu kina usajili na kipo kihalali na kisheria.
Pamoja na sheria za uchaguzi zinazotungwa, ni vema zikawepo sheria kali za kuthibiti vyama vya siasa.

we kweli unamtindio wa ubongo sio bure nenda hospital haraka sana
 
Cc: Msajili wa vyama vya siasa.... Soma utumbo wa LB7 huo..
 
maovu mengine ya chadema haya hapa
1. kulipuwa mabomu soweto~mbowe & lema
2.kumwagia watu tindikali-henry kilewo
3.kutembea na sumu ya kumlisha zito~ben saanane & slaa
4. kupanga kumteka.msacky~lwakatare
5. chacha wangwe-mbowe & deus mallya
 
Mwacheni bure kibaraka huyo wanaokula vizuri ndani ya ccm wametulia yeye anawaza cdm
 
maovu mengine ya chadema haya hapa
1. kulipuwa mabomu soweto~mbowe & lema
2.kumwagia watu tindikali-henry kilewo
3.kutembea na sumu ya kumlisha zito~ben saanane & slaa
4. kupanga kumteka.msacky~lwakatare
5. chacha wangwe-mbowe & deus mallya

We nenda kakate mauno ya kanga moko..
 
Tangu maandamano yaliyopelekea watu wasio na hatia kufa Arusha, CHADEMA kimekuwa chama cha MAOVU tangu siku hiyo hadi leo. Hakuna asiyefahamu uovu huo unaoongozwa na viongozi wao; MAUAJI, KUJERUHI, KUHARIBU MALI, UPORAJI na UKABAJI KWENYE MAANDAMANO, UTEKAJI, KUTISHIA AMANI YA NCHI, KUHAMASISHA UVUNJAJI WA KANUNI NA SHERIA ZA NCHI, KUTENGENEZA WAVIVU WA KUCHANGIA SHUGHULI ZA MAENDELEO, UPINGAJI WA KILA KITU, MACHAFUKO na mengine mengi.

Tumekuwa tukisikia magazeti kufungiwa, vituo vya tv, radio, timu za mipira, n.k kwa kukiuka maadili.
Inakuwaje chama hiki hakijafungiwa ama kufutwa kabisa kwa uovu huu uliokithiri?
Ni dhahiri msajili wa vyama hajapewa meno ya kutosha. Hii taasis ya usajili wa vyama yapaswa kupewa meno makali kwa mustakabadhi wa siasa safi na ya kistaarabu. Matukio yanayofanywa na chama hiki siyo ya kibinadamu bali ni ya kishetani, kihaini, kigaidi, eta kwa sababu tu kina usajili na kipo kihalali na kisheria.
Pamoja na sheria za uchaguzi zinazotungwa, ni vema zikawepo sheria kali za kuthibiti vyama vya siasa.

ndugu yangu angalia CHADEMA itakupa pressure. naamini kwa Tanzania yetu hakuna chama kinajali maslahi ya watanzania. tena afadhali hao unaowatuhumu kuwa wauwaji na wahaini kuliko hao wanaojifanya wanajali wanachi kumbe wezi tu. kama nyie CCM ndio mnadola inakuwaje mnavumilia chama cha wauaji na wahaini? achana na siasa uchwara zitakukondesha bure wewe kijana.
 
ndugu yangu angalia CHADEMA itakupa pressure. naamini kwa Tanzania yetu hakuna chama kinajali maslahi ya watanzania. tena afadhali hao unaowatuhumu kuwa wauwaji na wahaini kuliko hao wanaojifanya wanajali wanachi kumbe wezi tu. kama nyie CCM ndio mnadola inakuwaje mnavumilia chama cha wauaji na wahaini? achana na siasa uchwara zitakukondesha bure wewe kijana.

wewe endelea kushabikia tu ila uombe mungu pia usijepatwe na hayo matukio kama kumzika ndugu yako, ama kumwagiwa tindikali, n.k. Yule dereva wa mwigulu alikuwa ana kosa gani? Alichofanyiwa na cdm ni cha kulaani. Kwa kauli yako ni sawa na kuunga mkono na kushangilia uovu ule. Omba Mungu yasikupate! Unaweza ukakaa bar unakunywa kwa starehe zako, ikarushwa chupa ikakujeruhi japo hukulengwa!
 
Tangu maandamano yaliyopelekea watu wasio na hatia kufa Arusha, CHADEMA kimekuwa chama cha MAOVU tangu siku hiyo hadi leo. Hakuna asiyefahamu uovu huo unaoongozwa na viongozi wao; MAUAJI, KUJERUHI, KUHARIBU MALI, UPORAJI na UKABAJI KWENYE MAANDAMANO, UTEKAJI, KUTISHIA AMANI YA NCHI, KUHAMASISHA UVUNJAJI WA KANUNI NA SHERIA ZA NCHI, KUTENGENEZA WAVIVU WA KUCHANGIA SHUGHULI ZA MAENDELEO, UPINGAJI WA KILA KITU, MACHAFUKO na mengine mengi.

Tumekuwa tukisikia magazeti kufungiwa, vituo vya tv, radio, timu za mipira, n.k kwa kukiuka maadili.
Inakuwaje chama hiki hakijafungiwa ama kufutwa kabisa kwa uovu huu uliokithiri?
Ni dhahiri msajili wa vyama hajapewa meno ya kutosha. Hii taasis ya usajili wa vyama yapaswa kupewa meno makali kwa mustakabadhi wa siasa safi na ya kistaarabu. Matukio yanayofanywa na chama hiki siyo ya kibinadamu bali ni ya kishetani, kihaini, kigaidi, eta kwa sababu tu kina usajili na kipo kihalali na kisheria.
Pamoja na sheria za uchaguzi zinazotungwa, ni vema zikawepo sheria kali za kuthibiti vyama vya siasa.
Maccm punguzeni unyonge na udhaifu... si uende ukashitaki polisi, its simple like that...
Acheni udhaifu...
 
wewe endelea kushabikia tu ila uombe mungu pia usijepatwe na hayo matukio kama kumzika ndugu yako, ama kumwagiwa tindikali, n.k. Yule dereva wa mwigulu alikuwa ana kosa gani? Alichofanyiwa na cdm ni cha kulaani. Kwa kauli yako ni sawa na kuunga mkono na kushangilia uovu ule. Omba Mungu yasikupate! Unaweza ukakaa bar unakunywa kwa starehe zako, ikarushwa chupa ikakujeruhi japo hukulengwa!

Mwiguilu alienda kutubu nini Nigeria? Huyo dereva wake kamshambulia kisa kasema anatembea na msanii Dokii? Mwigulu
 
haha...nashukuru uvumilivu umekushinda....ulukuwa ndio mpango wa CCM kaba la kujua kuna serikali 3.hawajakuambia?
 
Machoni kama watu,moyoni hawana utu.........chama pekee kinachotakiwa kufungiwa au kufutwa kabisa ni ccm maana kimeshindwa kwa % 89 kutekeleza sera zake na badala yake inatekeleza mauaji ya raia wasiokuwa na hatia
 
Machoni kama watu,moyoni hawana utu.........chama pekee kinachotakiwa kufungiwa au kufutwa kabisa ni ccm maana kimeshindwa kwa % 89 kutekeleza sera zake na badala yake inatekeleza mauaji ya raia wasiokuwa na hatia

hili ni mojawapo ya mambo mnayopinga yasiyo ya kweli. Hadi sasa ccm imetekeleza ilani yake zaidi ya 89%, sasa wewe kwa7bu ni mpingaji unapotosha watu!
 
Tangu maandamano yaliyopelekea watu wasio na hatia kufa Arusha, CHADEMA kimekuwa chama cha MAOVU tangu siku hiyo hadi leo. Hakuna asiyefahamu uovu huo unaoongozwa na viongozi wao; MAUAJI, KUJERUHI, KUHARIBU MALI, UPORAJI na UKABAJI KWENYE MAANDAMANO, UTEKAJI, KUTISHIA AMANI YA NCHI, KUHAMASISHA UVUNJAJI WA KANUNI NA SHERIA ZA NCHI, KUTENGENEZA WAVIVU WA KUCHANGIA SHUGHULI ZA MAENDELEO, UPINGAJI WA KILA KITU, MACHAFUKO na mengine mengi.

Tumekuwa tukisikia magazeti kufungiwa, vituo vya tv, radio, timu za mipira, n.k kwa kukiuka maadili.
Inakuwaje chama hiki hakijafungiwa ama kufutwa kabisa kwa uovu huu uliokithiri?
Ni dhahiri msajili wa vyama hajapewa meno ya kutosha. Hii taasis ya usajili wa vyama yapaswa kupewa meno makali kwa mustakabadhi wa siasa safi na ya kistaarabu. Matukio yanayofanywa na chama hiki siyo ya kibinadamu bali ni ya kishetani, kihaini, kigaidi, eta kwa sababu tu kina usajili na kipo kihalali na kisheria.
Pamoja na sheria za uchaguzi zinazotungwa, ni vema zikawepo sheria kali za kuthibiti vyama vya siasa.

Wakati fulani NCCR ilikuwa iko juu, ikawa inasemwa sana vibaya, ikadhoofika haikusemwa tena! Ikaja CUF nayo mara majambia mara sijui nini, zama zake zilivyopita haitajwi tena. Sasa ni CHADEMA, kila siku mambo chungu nzima inatajwa kufanya mambo mabaya, sasa swali hapa ni kwa nini kila wakati chama cha upinzani kikianza kuimarika kinasemwa mambo ambayo ni makosaa tuuu, kwa nini? Au ndo DIRTY politics au ni kweli? Hii inatia shaka, hasa kwa mwenye fikra huru, asiyefungamana na upande, inatia shaka tena sana. Siasa za Afrika ni zile RA yule wa Igunga aliziita Maji Taka!
 
Back
Top Bottom