Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,760
Wale vibaraka wa CCM walioshiriki kukubali kupinduliwa maoni ya Wananchi yaliokuwa ndani ya rasimu ya Tume ya Warioba na badala yake kuchomoa na kuchomekea maoni ya mabepari wa CCM ,washerehekee ushindi wao hukohuko Dodoma msije mkarudi nazo mitaani ,sherehekeni hukohuko.Hizo rushwa za laki tatutatu zitawatokea puani ,nazani mlipata ujumbe uliowambia tunawasubiri mitaani ,basi mnasubiriwa kweli.