Sherehe za Muungano wa JMT zimepwaya . Sherehe hizo ambazo mkoani KAGERA wilaya ya Kyerwa, kata ya Isingiro ambapo mkuu wa mkoa Kanali Fabian Massawe watu wameshindwa kujitokeza kwa wingi.
My take; Kuna haja ya kuhakikisha kuwa elimu kuhusu muungano inatakiwa kwa wananchi wote hasa vijijini.
My take; Kuna haja ya kuhakikisha kuwa elimu kuhusu muungano inatakiwa kwa wananchi wote hasa vijijini.