26.4.2014 home napika bonge pilau kuku kisha natinga uhuru stadium saa tatu asubuhi tu baada ya hapo narudi home nalipiga pilau kisha nakwenda kusherekea cocobeach maana huu muungano ndiyo utanzania wangu na ndiyo sikuku ninayoipenda kuliko zote hapa duniani. Viva tanzaniaaaaaaaa
Na mwaka huu naona sherehe zitakuwa kubwa haswa, manake wajeda wanakula zoezi hatari. Wanakaribia kutuua na makelele ya ndege.