Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,903
Na: Mwanahabari Huru
Tarehe 05/02/2017 Chama cha Mapinduzi (CCM) kitaadhimisha miaka 40 tangu kuzaliwa kwake. Kwa wakati huo kama mambo yatakwenda kama inavyotarajiwa, Mh. John Joseph Pombe Maghufuli ndiye atakuwa mwenyekiti.
Kwa utamaduni wa Chama hiki kikongwe, sherehe zake hufanyikia kwenye uwanja wa wazi ambapo kila mwanachama na mfuasi wa Chama hicho anakuwa na fursa ya kuhudhuria.
Kwa kuwa sherehe hizo ni za kisiasa, na hufanyika kwenye eneo la wazi maana yake ni MKUTANO WA HADHARA.
Je, mwenyekiti wa CCM Taifa kwa wakati huo atalazimika kutengua kauli yake ya kupiga marufuku mikutano ya hadhara ya kisiasa!! ???
Polisi nao je watalazimika kusema kuwa huu ni mwaka 2017 na hivyo ya 2016 yalishapita!! ????
It's just a loud thinking!
Tarehe 05/02/2017 Chama cha Mapinduzi (CCM) kitaadhimisha miaka 40 tangu kuzaliwa kwake. Kwa wakati huo kama mambo yatakwenda kama inavyotarajiwa, Mh. John Joseph Pombe Maghufuli ndiye atakuwa mwenyekiti.
Kwa utamaduni wa Chama hiki kikongwe, sherehe zake hufanyikia kwenye uwanja wa wazi ambapo kila mwanachama na mfuasi wa Chama hicho anakuwa na fursa ya kuhudhuria.
Kwa kuwa sherehe hizo ni za kisiasa, na hufanyika kwenye eneo la wazi maana yake ni MKUTANO WA HADHARA.
Je, mwenyekiti wa CCM Taifa kwa wakati huo atalazimika kutengua kauli yake ya kupiga marufuku mikutano ya hadhara ya kisiasa!! ???
Polisi nao je watalazimika kusema kuwa huu ni mwaka 2017 na hivyo ya 2016 yalishapita!! ????
It's just a loud thinking!