LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
ZITO na chama chake cha Magwanda ni sawa na ng'ombe asiye na bei sokoni, eti ndo unaleta hoja kwa ajili ya kufurahia ukilaza wa zito, shame be upon you.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Umewasilisha nini UTUMBO?
Mizigo mingine kama hii humu tunawatambua kwa post zao kama hii ya huyu
kilaza!
Ila nina hofu na umri wako!
ZITO na chama chake cha Magwanda ni sawa na ng'ombe asiye na bei sokoni, eti ndo unaleta hoja kwa ajili ya kufurahia ukilaza wa zito, shame be upon you.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Baada ya ZITO KABWE kusimamia kwa nguvu hoja mbalimabli zilizoletwa na kamati za bunge na michango ya wabunge ambayo ilikua ikisikitika sana juu ya ufujaji wa fedha za uma kutokana na riport ya CAG ambayo imeonyesha maovu mengi tu katika matumiz ya pesa hizo za umma, ZITO KABWE (MB), Aliinuka na kuanza kuwasainisha wabunge wote kuaproove kutokuwa na imani na waziri mkubwa kitu ambacho kimetia kimbunga cha hofu mpaka ikulu na mkuu wa magamba kuamua kuiomba cc ione km kuna haja ya haraka ya kupangua baraza lake kwa sababu matokeo ya ZITO yangekua diverstative and destructive to the government rather than shame kwa jakaya na baraza lake, so kwa kimbunga hiki kilichoamshwa na ZITO (CDM), ni vizuri huyu jamaa akafanyiwa celemony kubwa tuu ya kumpongeza kwa mchango wake wa kuinusuru nchi hii from the burrial na mgeni rasmi awe CAG ndugu LUDOVICK LUTO kwa kazi yake isiyomuogopa mtu na cheo chake. nawasilisha:israel::israel::director::israel::bange::bange::violin::violin:
Hoja ya Zito iliibuliwa na Mh Tundu Lissu........nimesikiliza kwa makini lakini sijasikia bado mbunge aliyetoa hoja ya kutokuwa na imani na waziri mkuu
Ndugu, wazo lako ni zuri sana, ila hawezi kufanyiwa sherehe kwani alitumwa na wananchi kufanya kazi hiyo. Ni sawa na kufanyia mwalimu sherehe kwa kufaulisha watoto wengi wakati hilo ni jukumu lake.
chadema inafanya kazi kama team......not a single person. I congratulate chadema.....baada ya zito kabwe kusimamia kwa nguvu hoja mbalimabli zilizoletwa na kamati za bunge na michango ya wabunge ambayo ilikua ikisikitika sana juu ya ufujaji wa fedha za uma kutokana na riport ya cag ambayo imeonyesha maovu mengi tu katika matumiz ya pesa hizo za umma, zito kabwe (mb), aliinuka na kuanza kuwasainisha wabunge wote kuaproove kutokuwa na imani na waziri mkubwa kitu ambacho kimetia kimbunga cha hofu mpaka ikulu na mkuu wa magamba kuamua kuiomba cc ione km kuna haja ya haraka ya kupangua baraza lake kwa sababu matokeo ya zito yangekua diverstative and destructive to the government rather than shame kwa jakaya na baraza lake, so kwa kimbunga hiki kilichoamshwa na zito (cdm), ni vizuri huyu jamaa akafanyiwa celemony kubwa tuu ya kumpongeza kwa mchango wake wa kuinusuru nchi hii from the burrial na mgeni rasmi awe cag ndugu ludovick luto kwa kazi yake isiyomuogopa mtu na cheo chake. Nawasilisha:israel::israel::director::israel::bange::bange::violin::violin:
Baada ya ZITO KABWE kusimamia kwa nguvu hoja mbalimabli zilizoletwa na kamati za bunge na michango ya wabunge ambayo ilikua ikisikitika sana juu ya ufujaji wa fedha za uma kutokana na riport ya CAG ambayo imeonyesha maovu mengi tu katika matumiz ya pesa hizo za umma, ZITO KABWE (MB), Aliinuka na kuanza kuwasainisha wabunge wote kuaproove kutokuwa na imani na waziri mkubwa kitu ambacho kimetia kimbunga cha hofu mpaka ikulu na mkuu wa magamba kuamua kuiomba cc ione km kuna haja ya haraka ya kupangua baraza lake kwa sababu matokeo ya ZITO yangekua diverstative and destructive to the government rather than shame kwa jakaya na baraza lake, so kwa kimbunga hiki kilichoamshwa na ZITO (CDM), ni vizuri huyu jamaa akafanyiwa celemony kubwa tuu ya kumpongeza kwa mchango wake wa kuinusuru nchi hii from the burrial na mgeni rasmi awe CAG ndugu LUDOVICK LUTO kwa kazi yake isiyomuogopa mtu na cheo chake. nawasilisha:israel::israel::director::israel::bange::bange::violin::violin:
Mkuu MAKOLE hujasikia waalimu wa Mwanga wamepelekwa Tarangire kuangalia simba na fisi baada ya kufaulisha watoto wengi?