mke wa mkuu JF-Expert Member Joined Dec 19, 2013 Posts 634 Reaction score 277 Dec 11, 2014 #21 naona mmedai sana picha mimi nimehudhuria malaika ila sijajua ndoa imefungwa kwa dini gani maana nasikai msichana ni mwislam
naona mmedai sana picha mimi nimehudhuria malaika ila sijajua ndoa imefungwa kwa dini gani maana nasikai msichana ni mwislam
mke wa mkuu JF-Expert Member Joined Dec 19, 2013 Posts 634 Reaction score 277 Dec 11, 2014 #22 Honey Faith said: Hebu tuwekee japo kapicha tusuuze macho Click to expand... View attachment 209839
D daud magigo JF-Expert Member Joined Sep 5, 2014 Posts 979 Reaction score 425 Dec 11, 2014 #23 Meya wa KICHINA,baada ya kupiga bilioni 40 anajipongeza.Hukumu yake 2015.Nasikia amenogewa anataka amtoe mtoto wa Mama Nitillie wetu WENJE.Labda aje na gari za kuwasha kama 20
Meya wa KICHINA,baada ya kupiga bilioni 40 anajipongeza.Hukumu yake 2015.Nasikia amenogewa anataka amtoe mtoto wa Mama Nitillie wetu WENJE.Labda aje na gari za kuwasha kama 20
D Dumaduma Member Joined Dec 4, 2014 Posts 11 Reaction score 2 Dec 11, 2014 #24 Hongera zao buana ...! Sherehe ilinoga knomanoma. Lulu Wa kanumba nae hakupitwa!