Shemeji yangu ananitaka

Shemeji yangu ananitaka

Joined
May 5, 2015
Posts
34
Reaction score
67
Msaada wanajukwaa wenzangu,

Kuna mfanyakazi mwenzangu ana mpenzi wake na namfahamu hata yeye ananifahamu ila kwa sasa naona kaanza kunitaka mimi kimapenzi kitu ambacho sitaki kumvunjia heshima rafiki yangu, nimejaribu kumueleza kila kitu juu yangu hasa undugu na jamaa yangu ila hataki kuelewa.Inanipa wakati mgumu sana kwa sasa.

Naomba mnishauri la kufanya maana kumwambia jamaa ana hasira na anaweza mfukuza au akamuumiza kwa kumpiga.
 
Msaada wanaJukwaa wenzangu,Kuna mfanyakazi mwenzangu ana mpenzi wake na namfahamu hata yeye ananifahamu ila kwa sasa naona kaanza kunitaka mimi kimapenzi kitu ambacho staki kumvunjia heshima rafiki angu,Nimejaribu kumueleza Kila kitu Juu yangu hasa Undugu na Jamaa angu ila hataki kuelewa.Inanipa wakati mgumu sana kwa sasa
Naomba mnishauri la kufanya maana kumwambia Jamaa ana hasira na anaweza mfukuza au Akamuumiza kwa Kumpiga
Na wewe mtake tu. Maanake wamekuwa cha wote....wengi wao kama huyo shemeji yako hawajitambui wanawaza ngono tu.
 
Sema na wewe unammtaka . Wewe ni mtu mzima huwezi kulazimishwa kufanya kitu ambacho hukitaki
 
Ana maradhi ya weye mwache augulie au mpe dawa apone
Akizidiwa utamkuta kwingine roho itakuuma kwanini hukuwa wewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom