Sheli inauzwa

Sheli inauzwa

Joined
Jul 15, 2015
Posts
20
Reaction score
0
kwa yeyote anayehitaji kununua sheli au eneo la kujenga sheli hapa dar au mikoani na kwa anayeweza kuwa ana mteja wa kununua sheli tuwasiliane tufanye biashara.

#0672089903.
 
Kwa sheli zote zinazouzwa hapa Dar na mikoani au kama una mteja anayehitaji kununua sheli Dar au mikoani wasiliana nasi sasa ujipatie sheli mahali upendapo kwa gharama nafuu.

#0672089903
 
Shell ni makampuni makubwa ya expoloration na uuzaji wa mafuta duniani kama ilivo TOTAL, PUMA, BP hapo ungesema kwa wanaotafuta kununua vituo vya mafuta hasa ya petrol, Diesel na Kerosene watu wangekuelewa lakni kwa Tanzania na Afrika hakuna mwenye ubavu wa kuinunua SHELL
 
Kwa sheli zote zinazouzwa hapa Dar na mikoani au kama una mteja anayehitaji kununua sheli Dar au mikoani wasiliana nasi sasa ujipatie sheli mahali upendapo kwa gharama nafuu.

#0672089903

Mkuu umepata wapi mamlaka ya kuuza shell,je umewasiliana na waholanzi wenyewe wenye kampuni,

Mawasiliano ya shell namba zao ni 1 (888) 467-4355 je Mbona hawajatangaza kuuza shell
 
Kwa anayehitaji kununua sheli Dar na mikoani au kukodisha na mtu mwenye mteja anayetaka sheli ya kununua wasiliana nasi sasa ujipatie sheli eneo upendalo kwa gharama nafuu.

#0672089903
 
Kwa anayehitaji kununua sheli Dar na mikoani au kukodisha na mtu mwenye mteja anayetaka sheli ya kununua wasiliana nasi sasa ujipatie sheli eneo upendalo kwa gharama nafuu.

#0672089903
Mimi natafuta kazi ya kuuza mafuta kwenye vituo vya kuuzia mafuta(shell)..plz naomba unisaidie nipate kazi mkuu mtoto mtafutaji.
 
Shell ni makampuni makubwa ya expoloration na uuzaji wa mafuta duniani kama ilivo TOTAL, PUMA, BP hapo ungesema kwa wanaotafuta kununua vituo vya mafuta hasa ya petrol, Diesel na Kerosene watu wangekuelewa lakni kwa Tanzania na Afrika hakuna mwenye ubavu wa kuinunua SHELL

Aksante mkuu wa ufafanuzi.
Service station..
Filling station, Kwa kuongezea tuu..
 
Mkuu umepata wapi mamlaka ya kuuza shell,je umewasiliana na waholanzi wenyewe wenye kampuni,

Mawasiliano ya shell namba zao ni 1 (888) 467-4355 je Mbona hawajatangaza kuuza shell

point ni vituo vya mafuta vinauzwa kwa yoyote anayehitaji tunaweza wasiliana kwa hiyo namba na asante kwa kunipa msamiati sitahiki mbadala na neno sheli nadhani imeeleweka sasa.
 
point ni vituo vya mafuta vinauzwa kwa yoyote anayehitaji tunaweza wasiliana kwa hiyo namba na asante kwa kunipa msamiati sitahiki mbadala na neno sheli nadhani imeeleweka sasa.

We acha ubabaishaji,unafanya biashara kubwa namnahiyo unasema Shell ni msamiati?Inaaman we mpaka hapo Hujui Shell ni nini?
Mbona unafanyabiashara kiujanja ujanja.Kila mtu mungu kamleta na taaluma yake na uwezo wake.
Haya mambo ya kila mtu kuwa dalali haya wengine tutafute kazi nyingine tufanye.Fanya unachokiweza na unachokijua.

Maelezo yako yanaboa kweli aisee,tena aibuuuu,kama kuna wakenya wanaingia kuona wabongo tulivyo zero baadhi yetu kwenye kutafuta maisha wataendelea kumiminika sana tu Bongo.
 
Unauza shell????? Are u serious?? Kama mchangiaji aliyepita amefafanua vizuri sana, yani unafanya biashara kubwa hivyo hujui shell ni nini? Dah futa tangazo lako jipange upya aisee
 
Msijifanye hamjamuelewa japo hajatiririka ipasavyo, Wengi tulisha zoea kampuni za mwanzo kabisa kutengeneza vituo vya mafuta ni shell hvyo ni mazoea.
 
Nani kakupa ruhusa ya kuuza shell ya waholanzi? Au tatizo ni elimu yetu inayototewa na sisiem inadumaza akili za vijana wetu
 
Back
Top Bottom