Sabato masalia
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 228
- 134
Yule sheikh maarufu wa jijini Mwanza, Sheikh Ilunga Kapungu aliyekuwa akitafutwa kwa tuhuma za uchochezi jana mchana alitiwa mbaroni mjini Tabora na kuachiwa saa mbili usiku jana hiyo hiyo na kutakiwa akajisalimishe kituo kikuu cha polisi jijini Mwanza. sheikh Ilunga alikuwa anatafutwa kwa takriban miezi sita na jeshi la polisi nchini kwa mujibu wa maelezo yake anasema alikuwa nchini India kwa matibabu ya figo na kisukari na amerejea nchini siku chache zilizopita.
Yule sheikh maarufu wa jijini Mwanza, Sheikh Ilunga Kapungu aliyekuwa akitafutwa kwa tuhuma za uchochezi jana mchana alitiwa mbaroni mjini Tabora na kuachiwa saa mbili usiku jana hiyo hiyo na kutakiwa akajisalimishe kituo kikuu cha polisi jijini Mwanza. sheikh Ilunga alikuwa anatafutwa kwa takriban miezi sita na jeshi la polisi nchini kwa mujibu wa maelezo yake anasema alikuwa nchini India kwa matibabu ya figo na kisukari na amerejea nchini siku chache zilizopita.
Ilunga ndio kitu gani hebu fafanua tafadhali.Yule sheikh maarufu wa jijini Mwanza, Sheikh Ilunga Kapungu aliyekuwa akitafutwa kwa tuhuma za uchochezi jana mchana alitiwa mbaroni mjini Tabora na kuachiwa saa mbili usiku jana hiyo hiyo na kutakiwa akajisalimishe kituo kikuu cha polisi jijini Mwanza. sheikh Ilunga alikuwa anatafutwa kwa takriban miezi sita na jeshi la polisi nchini kwa mujibu wa maelezo yake anasema alikuwa nchini India kwa matibabu ya figo na kisukari na amerejea nchini siku chache zilizopita.
Bora ungekuwa mpini...Sheh ilunga jembe linalo watesa wakristo na mfumo wake ,
Bora angetangulia kwa israeli, mdini mkubwa!
Yule sheikh maarufu wa jijini Mwanza, Sheikh Ilunga Kapungu aliyekuwa akitafutwa kwa tuhuma za uchochezi jana mchana alitiwa mbaroni mjini Tabora na kuachiwa saa mbili usiku jana hiyo hiyo na kutakiwa akajisalimishe kituo kikuu cha polisi jijini Mwanza. sheikh Ilunga alikuwa anatafutwa kwa takriban miezi sita na jeshi la polisi nchini kwa mujibu wa maelezo yake anasema alikuwa nchini India kwa matibabu ya figo na kisukari na amerejea nchini siku chache zilizopita.
Mimi ni Mwislam lakini jamaa zangu wengi ni wakristo, tena wema sana. Kusema kweli sipendi hata kidogo huu uhuni unaofanywa dhidi ya wakristo.