She is Taken lakini.....dah

CONTROLA

JF-Expert Member
Sep 15, 2019
6,939
22,982
Kusema ukweli kuna sura ukiiangalia tu unajua huyu mtoto wa kike,huna haja ya kuona kifua wala Chini ya kiuno

Kisura kama hiki kikwambie kimadeko "babe ukija si utanletea range rover eeeh" ujue unaweza jikuta unaitikia Ndio bebe usijali kabisa

wakati wewe hata baiskeli tupu hauna,ila sauti inayotoka kwa mdada wa hivi unaeza jisahaulisha hata jinsia yako
4.png


mi kwakweli nikiangaliaga nyimbo zao hata zile wanazoimba full kirwanda mi nimo tu yani sina habari unaweza fikiria naelewa ila

mingo zangu zote nimuone huyu bi shost wa kuitwa uwera sara,sema nyie mungu Muumbaji bwana

Hivi katoto kama haka na haka kamdomo kake kaanze kukudekea au kakwambie babe ongeza cha 5 jomoniiii

ujue hata kama hanithi unaweza jikuta umewika mzee baba

3.jpg

Yani mi nawambiaga wanaume wanaolalamika sijui nguvu za kiume sijui hawachukui muda wanamaliza game,shida sio wao

sazingine unapokua na mke ana sura mithili ya asha ngedere ni ngumu sana kuweza kurudia tendo

Mwanamke inatakiwa muda wote jicho akikuangalia awe kama anasema "bebi twende ukanitie mimi"

Sio mwanamke anakuangalia unahisi Afisa mikopo wa EQUITY BANK anataka chake au dalali anaesubiri hela ya kukuonyesha chumba bana

Mtoto kama huyu huwezi kusikia njaaaa akiwa ndani,maana kasauti kake unaweza kukaeka hta Ringtone ya simu

Kamdomo kale vuta picha kamekuja hapa kakagusana na lips hzi zangu ngumu ka kifuniko cha fanta pansion,

ujue usipokua vzuri kiafya unaeza zima maana kamdomo ni kadogo kias kwamba unawishi akiongea akuguse guse tu
1.jpg


Asssssssssssssssshhhhhhhhhhhh jamani Kuna mijamaaa ina faidi dunia ya leo,mke awe hivi bana katamuuuuuuuuu

yani jicho kama ananiiita mimi aseeeee binti uwera sarah mashaaalah sema upo Rwanda ungekua bongo Mumeo angenikatia RB dada.
 
Kusema ukweli kuna sura ukiiangalia tu unajua huyu mtoto wa kike,huna haja ya kuona kifua wala Chini ya kiuno

Kisura kama hiki kikwambie kimadeko "babe ukija si utanletea range rover eeeh" ujue unaweza jikuta unaitikia Ndio bebe usijali kabisa

wakati wewe hata baiskeli tupu hauna,ila sauti inayotoka kwa mdada wa hivi unaeza jisahaulisha hata jinsia yakoView attachment 1226896

mi kwakweli nikiangaliaga nyimbo zao hata zile wanazoimba full kirwanda mi nimo tu yani sina habari unaweza fikiria naelewa ila

mingo zangu zote nimuone huyu bi shost wa kuitwa uwera sara,sema nyie mungu Muumbaji bwana

Hivi katoto kama haka na haka kamdomo kake kaanze kukudekea au kakwambie babe ongeza cha 5 jomoniiii

ujue hata kama hanithi unaweza jikuta umewika mzee baba

View attachment 1226914
Yani mi nawambiaga wanaume wanaolalamika sijui nguvu za kiume sijui hawachukui muda wanamaliza game,shida sio wao

sazingine unapokua na mke ana sura mithili ya asha ngedere ni ngumu sana kuweza kurudia tendo

Mwanamke inatakiwa muda wote jicho akikuangalia awe kama anasema "bebi twende ukanitie mimi"

Sio mwanamke anakuangalia unahisi Afisa mikopo wa EQUITY BANK anataka chake au dalali anaesubiri hela ya kukuonyesha chumba bana

Mtoto kama huyu huwezi kusikia njaaaa akiwa ndani,maana kasauti kake unaweza kukaeka hta Ringtone ya simu

Kamdomo kale vuta picha kamekuja hapa kakagusana na lips hzi zangu ngumu ka kifuniko cha fanta pansion,

ujue usipokua vzuri kiafya unaeza zima maana kamdomo ni kadogo kias kwamba unawishi akiongea akuguse guse tuView attachment 1226913

Asssssssssssssssshhhhhhhhhhhh jamani Kuna mijamaaa ina faidi dunia ya leo,mke awe hivi bana katamuuuuuuuuu

yani jicho kama ananiiita mimi aseeeee binti uwera sarah mashaaalah sema upo Rwanda ungekua bongo Mumeo angenikatia RB dada.

Huyu dada niliwahi kulala nae hotel moja Mbeya walikuwa wamekuja kwenye tamasha la Pasaka, Aisee ni mrembo haswa, na alinipa contact yake
 
Back
Top Bottom