Shayo achangia Milioni 5 ujenzi wa kanisa Njoro

Shayo achangia Milioni 5 ujenzi wa kanisa Njoro

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
16,029
Reaction score
26,231

Chanzo:Manara Tv
Mfanyabiashara maarufu mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro, Alhaji Ibrahim Shayo, Julai 20, 2025, amechangia Shilingi milioni tano kwa ajili ya ujenzi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Majengo, mtaa wa Njoro, lililopo Kata ya Njoro.

Mchango huo umetolewa katika ibada ya uzinduzi wa jengo la Kanisa Usharika wa Majengo, iliyoongozwa na Askofu wa Dayosisi ya Kaskazini ya KKKT, Dkt. Fredrick Shoo.

Alhaji Shayo, ambaye pia ni mlezi wa Kwaya ya Vijana wa Usharika huo, ametoa pia sare kwa kwaya hiyo pamoja na bima za afya kwa wazee wenye umri mkubwa zaidi kutoka usharikani.

Akizungumza katika ibada hiyo, Askofu Dkt. Shoo amempongeza mfanyabiashara huyo kwa moyo wake wa kujitoa kusaidia jamii bila kujali tofauti za imani au makabila.

“Huyu Ibrahim ni Mwislamu, si Mkristo, lakini ni mmoja wa watu wachache wanaojitolea kwa moyo kusaidia makanisa, misikiti, shule, hospitali na jamii kwa ujumla. Ni mfano wa kuigwa,” amesema Dkt. Shoo.

 
Alhaji Shayo, hiyo ni rushwa kupitia mlango mwingine,ukizingatia kuwa ni mtia Nia Ubunge kupitia ccm huko moshi mjini.

Takukuru kazi kwenu!

CCM kamati kuu kazi kwenu!

Cc; Katibu Mkuu wa CCM Taifa
 
Alhaji Shayo anachangia makanisa?!
 
Ibr
View attachment 3412159
Chanzo:Manara Tv
Mfanyabiashara maarufu mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro, Alhaji Ibrahim Shayo, Julai 20, 2025, amechangia Shilingi milioni tano kwa ajili ya ujenzi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Majengo, mtaa wa Njoro, lililopo Kata ya Njoro.

Mchango huo umetolewa katika ibada ya uzinduzi wa jengo la Kanisa Usharika wa Majengo, iliyoongozwa na Askofu wa Dayosisi ya Kaskazini ya KKKT, Dkt. Fredrick Shoo.

Alhaji Shayo, ambaye pia ni mlezi wa Kwaya ya Vijana wa Usharika huo, ametoa pia sare kwa kwaya hiyo pamoja na bima za afya kwa wazee wenye umri mkubwa zaidi kutoka usharikani.

Akizungumza katika ibada hiyo, Askofu Dkt. Shoo amempongeza mfanyabiashara huyo kwa moyo wake wa kujitoa kusaidia jamii bila kujali tofauti za imani au makabila.

“Huyu Ibrahim ni Mwislamu, si Mkristo, lakini ni mmoja wa watu wachache wanaojitolea kwa moyo kusaidia makanisa, misikiti, shule, hospitali na jamii kwa ujumla. Ni mfano wa kuigwa,” amesema Dkt. Shoo.

Ibra line
 
View attachment 3412159
Chanzo:Manara Tv
Mfanyabiashara maarufu mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro, Alhaji Ibrahim Shayo, Julai 20, 2025, amechangia Shilingi milioni tano kwa ajili ya ujenzi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Majengo, mtaa wa Njoro, lililopo Kata ya Njoro.

Mchango huo umetolewa katika ibada ya uzinduzi wa jengo la Kanisa Usharika wa Majengo, iliyoongozwa na Askofu wa Dayosisi ya Kaskazini ya KKKT, Dkt. Fredrick Shoo.

Alhaji Shayo, ambaye pia ni mlezi wa Kwaya ya Vijana wa Usharika huo, ametoa pia sare kwa kwaya hiyo pamoja na bima za afya kwa wazee wenye umri mkubwa zaidi kutoka usharikani.

Akizungumza katika ibada hiyo, Askofu Dkt. Shoo amempongeza mfanyabiashara huyo kwa moyo wake wa kujitoa kusaidia jamii bila kujali tofauti za imani au makabila.

“Huyu Ibrahim ni Mwislamu, si Mkristo, lakini ni mmoja wa watu wachache wanaojitolea kwa moyo kusaidia makanisa, misikiti, shule, hospitali na jamii kwa ujumla. Ni mfano wa kuigwa,” amesema Dkt. Shoo.

Sawa shayo tumekusikia na tunashukuru lkn kura hatukupi.
 
Back
Top Bottom