Shauri yenu kwakuwa ndiyo njia mliyoichagua

Hakuna anayejali

JF-Expert Member
Jun 3, 2023
264
277
Enzi zetu tulikuwa tunakula vyakula vya asili maboga na mbegu zake kama uonavyo kwenye picha hapo chini na ninaendelea. Zamani asbh tunaotea kuwa na jioni lakini ninyi wa sasa mnaaka mnakaa kwenye tv na tatizo lenu mnapenda kula maandazi, chapati na maharage mnatia na sukari halafu mnalia pulingi ndogo poleni kwa kujiua sisi tutawapiga tafu kuwapandisha hao juu kabisa ya mlima kilimanjaro.Zingatieni chakula,kulala vema,kuotea jua na njia nyinginezo muhimu.

IMG_20240318_094236.jpg
 
Kiongozi naona unataka kuturudisha Zama za Kati za Mawe tu ambapo Wazee wetu waliishi Kwa kuwinda na kula matunda tu 🙌
 
Niny wazee msipige sana kelele, na ninyi kabla yenu mababu walikula nyama za kuwinda tu, mbna ninyi mlianza kula mboga ? Na kufuga ? Heb kubalin dunia inabadilika msitupigie kelel sana
Ee bhana
 
Back
Top Bottom