reg
Senior Member
- Apr 7, 2014
- 176
- 97
Habari wanajamvi popote mlipo.
Kwanza kabisa napenda kumpongeza Dr. J.P Magufur kupitishwa kugombea urasi kwa tiketi ya CCM, na weridi alionao katika utendaji wake ata kama anapiga noti.
Pili, kwa UKAWA kitendiwili kilchopo kinaonekana kigumu kutenguliwa, ingawa lazima kipatiwe jibu lakini si vibaya kukubali kutenguliwa na mtu mwingine. Hali iliopo mitaani saiv si wengi uzungumzia UKAWA ni kama vile mwanampotevu karudi nyumban, wengi wa watu ni kama wanamatumaini mapya na CCM kutokana na kumteua Magufuri.
Katika siasa tunaamini zaidi ktk hoja, fikra pevu, mawazo mapana na propaganda, na kutokubali kushindwa ata kama unaona utashindwa.
HOJA YANGU.
Tungependa kuwaona wenyeviti wa vyama vinavyounda UKAWA ktk bunge lijalo na wengi kutoka upinzani ili kuleta ufanisi zaid ktk serikali ijayo. Hivyo basi Ukawa si dhambi kukubali uwezo wa magufuri katka urais hivyo tutumie nguvu nyingi kuwaondoa wanapiga makofi pungeni na wasema NDIYO uku wamelala. Upinzani imara utaitaji wabunge wengi kutoka upinzani.
Kuwepo kwa watu wenye weredi kama Dr slaa, Prof. Lipumba, tundu lissu na wengine wengi zaid kutoka upinzani kutaimarisha usimamizi mzuri wa bunhe lijalo. Hivyo basi UKAWA msitumie nguvu nyingi kwny urais ambao ni mgumu kuupata kwa sasa kwani serikali hii ya CCM na tume yake cku zote uiba kula za raisi kama inavyotokea Zanzibar.
Tuimarishe ubunge ktk awamu hii, ili tuwe na nguvu yakupitsha ya msingi kwa faida zijazo ktk kuiondoa CCM 2020.
UKAWA imara ni sasa ktk ubunge na si ktk uraisi.
MUNGU ibariki Tanzania
Kwanza kabisa napenda kumpongeza Dr. J.P Magufur kupitishwa kugombea urasi kwa tiketi ya CCM, na weridi alionao katika utendaji wake ata kama anapiga noti.
Pili, kwa UKAWA kitendiwili kilchopo kinaonekana kigumu kutenguliwa, ingawa lazima kipatiwe jibu lakini si vibaya kukubali kutenguliwa na mtu mwingine. Hali iliopo mitaani saiv si wengi uzungumzia UKAWA ni kama vile mwanampotevu karudi nyumban, wengi wa watu ni kama wanamatumaini mapya na CCM kutokana na kumteua Magufuri.
Katika siasa tunaamini zaidi ktk hoja, fikra pevu, mawazo mapana na propaganda, na kutokubali kushindwa ata kama unaona utashindwa.
HOJA YANGU.
Tungependa kuwaona wenyeviti wa vyama vinavyounda UKAWA ktk bunge lijalo na wengi kutoka upinzani ili kuleta ufanisi zaid ktk serikali ijayo. Hivyo basi Ukawa si dhambi kukubali uwezo wa magufuri katka urais hivyo tutumie nguvu nyingi kuwaondoa wanapiga makofi pungeni na wasema NDIYO uku wamelala. Upinzani imara utaitaji wabunge wengi kutoka upinzani.
Kuwepo kwa watu wenye weredi kama Dr slaa, Prof. Lipumba, tundu lissu na wengine wengi zaid kutoka upinzani kutaimarisha usimamizi mzuri wa bunhe lijalo. Hivyo basi UKAWA msitumie nguvu nyingi kwny urais ambao ni mgumu kuupata kwa sasa kwani serikali hii ya CCM na tume yake cku zote uiba kula za raisi kama inavyotokea Zanzibar.
Tuimarishe ubunge ktk awamu hii, ili tuwe na nguvu yakupitsha ya msingi kwa faida zijazo ktk kuiondoa CCM 2020.
UKAWA imara ni sasa ktk ubunge na si ktk uraisi.
MUNGU ibariki Tanzania