Hakuna sehemu Maalim Seif Sharif Hamad amesema kuwa Shein ameshinda ,hebu rudieni kikamilifu hiyo hotuba ya Maalim Seif na muisikilize kwa kituo ,punguzeni peresha mnaposikiliza maneno ya Seif ,kuna onyo flani aliwaambia kuwa wasicheze na utulivu ulioonyeshwa anytime kunaweza kukazuka fujo jipya ,hivyo kila mtu atunze mwenendo wake kwa maana hakuna kubezana.