Peponi, mbinguni, kuzimu, jehanum na sasa sauti inakaribia duniani kelele za shangwe na machozi ya furaha yakimiminika watu wakisikiliza matokeo ya urais ya uchaguzi 2010. Dr slaa Wilbrod atangazwa mshindi wa kiti cha Rais wa Jamhuri ya Tanzania. Watu wakitumiana meseji za hongera. Mafisadi wakipigia wakiulizana vipi pasipoti unayo? Inabidi tusepe. Hureee, Hongera watanzania kwa kuonyesha PEOPLES POWERView attachment 15606