Shamsa, Wellu Sengo ndani ya "BIFU" zito

warumi

R I P
May 6, 2013
16,273
18,383
STAA aliyeitendea haki Filamu ya Chausiku, Shamsa Ford na mwigizaji Wellu Sengo, wameingia kwenye bifu zito ambalo halijulikani chanzo chake.

Chanzo kimenyetisha habari kuwa, licha ya wawili hao kudumu kwenye urafiki kwa muda mrefu, ghafla wamebadilika na kwa sasa kila mmoja hamsemeshi mwenzake wanapokutana.

Jitihada za kumpata Shamsa ili kuzungumzia ishu hiyo hazikuzaa matunda lakini Wellu alipatikana:

"Unajua mimi niliona ghafla tu mtu hazungumzi na mimi, nikaona ni bora kuheshimu mawazo yake, mimi sijamkosea lolote sasa sijui ameninunia kwanini, " alisema Wellu.
 

Attachments

  • 1416092882548.jpg
    1416092882548.jpg
    66.7 KB · Views: 2,891
hii sufulia (tasnia )ya bongo movie kiukweli inatia kinyaa japo wenyewe wanajiita na baadhi yetu kuwaita vioo vya jamii, mi nadhani wengi wao hawastahili kuwa hivyo ndio maana wenyewe kwa wenyewe hawaishi kukwaruzana.
Hata hili neno celebrity ah haya panapo kosekana bunduki rungu hufaa ki mtazamo wangu wengi hawastahili taji hilo, wanapenda tuwaone kama beyonce au kim kama sio jlo! dada zangu mnataka muishi kama hao wenzenu hawahongwi ni pesa yao nyie kwa pesa gani hii ya kucheza filamu bajeti yake 10m ?unauza sura unapewa laki tano? badilikeni. Ah nilitaka kusahau kama sio kunyang'anyana mabwana sidhani kama kuna jingine.
 
warumi uko single nini, usiku wa manane uko macho, au ulikuwa juu ya kiti kirefu?
 
Last edited by a moderator:
attachment.php

Hapo Shamsa lazima amchunie huyu mrembo maana akiwa nae karibu akawihii kumzidi kete maana demu ana kasura ka supu kama Seven.
 
Rafiki akikunyamaziaa nawe unamnyamaziaaa,maana rafiki sio oksijen kusema akikunyamazia hutapumuaa,,,Wellu mzurii balaaa
 
Au kahisi anataka kumuibia yule mumewe anayejishaua naye nini?
 
Mmh, mshaibiana mabwana, mfyuu ziwafikie popote mlipo, ile wellu kisu hatariii

Binamu huyo jb wanamgombania nasikia shamsa shoga yake kipenzi mke wa jb huku anamchukulia nasikia jb ni Noma kuna siku nilikua saluni wasaani wakanza kusemana wakasema jb mh wanamwaga mambo yao hadharani loh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom