warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,273
- 18,383
STAA aliyeitendea haki Filamu ya Chausiku, Shamsa Ford na mwigizaji Wellu Sengo, wameingia kwenye bifu zito ambalo halijulikani chanzo chake.
Chanzo kimenyetisha habari kuwa, licha ya wawili hao kudumu kwenye urafiki kwa muda mrefu, ghafla wamebadilika na kwa sasa kila mmoja hamsemeshi mwenzake wanapokutana.
Jitihada za kumpata Shamsa ili kuzungumzia ishu hiyo hazikuzaa matunda lakini Wellu alipatikana:
"Unajua mimi niliona ghafla tu mtu hazungumzi na mimi, nikaona ni bora kuheshimu mawazo yake, mimi sijamkosea lolote sasa sijui ameninunia kwanini, " alisema Wellu.
Chanzo kimenyetisha habari kuwa, licha ya wawili hao kudumu kwenye urafiki kwa muda mrefu, ghafla wamebadilika na kwa sasa kila mmoja hamsemeshi mwenzake wanapokutana.
Jitihada za kumpata Shamsa ili kuzungumzia ishu hiyo hazikuzaa matunda lakini Wellu alipatikana:
"Unajua mimi niliona ghafla tu mtu hazungumzi na mimi, nikaona ni bora kuheshimu mawazo yake, mimi sijamkosea lolote sasa sijui ameninunia kwanini, " alisema Wellu.