Hyo njemba nili iona inamwaga chozi et hamin kumbe hadi njemba znamwaga chozi kwenye ndoa ila hongera zao ni hatua nzur mungu awabariki waishi ka baba na mama
Wee,mawazo yako ni kama yangu nilikua nakula timing Nay wa Mitego azinguane nae nilianzishe,nakuja kushangaa Ney kamwagwa nataka kumzukia naambiwa kuna jamaa anaitwa Chid Lovee kalianzisha,basi ikabidi nile kwa macho tu,ila siwaombei waachane,nawaombea wadumu kwenye ndoa yao na iwe mfano bora kwa wengine,Mimi natafuta mwingine kwa sasa kwani niliempenda kashachukuliwa.