hondohondo
New Member
- Apr 30, 2012
- 1
- 0
Shamba lenye ukubwa wa heka mbili na nusu linauzwa shilingi milioni 25 maongezi yapo.shamba lina miemmbe,mikorosho na minazi. shamba lipo chanika buyuni unaingia ndani kidogo.
kwa mawasiliano piga 0712 259021​
kwa mawasiliano piga 0712 259021​