ronis
Member
- Jul 28, 2015
- 22
- 3
Wadau,
Kwa yeyote anayehitaji shamba kwaajili ya matumizi mbalimbali kama kupanda miti au matunda nk. Shamba lipo sehemu nzuri lina ukubwa wa eka 650 na lina rutuba nzuri bei kwa eka ni sh 100,000.
Maelewano yapo. Eneo lipo jirani na walipo nunua watu wa marekani na wapakistani. Anaye hitaji tuwasiliane kwa namba 0757003302 nyote mnakaribishwa.
Kwa yeyote anayehitaji shamba kwaajili ya matumizi mbalimbali kama kupanda miti au matunda nk. Shamba lipo sehemu nzuri lina ukubwa wa eka 650 na lina rutuba nzuri bei kwa eka ni sh 100,000.
Maelewano yapo. Eneo lipo jirani na walipo nunua watu wa marekani na wapakistani. Anaye hitaji tuwasiliane kwa namba 0757003302 nyote mnakaribishwa.