nayetaka shamba kwa ajili ya kilimo/ufugaji morogoro tiwasiliabe.
Shamb@ ni zuri kwa kilimo cha ufuta,mahindi na nk. There is a source of water about 2.5 km from a shamba. Its size is 11 Hectares.For more clarifications call me at 0784775353/0767665353 during day time. Bei Kwa heka ni shilingi laki nne.
Ni kweli viazi mviringo vinastawi vzr, pia kabichi, maharage, conflower,kiujumla kila kitu chamboga mboga moro mjini kinatoka mgeta.
kuhusu ardhi sijui kwa kweli km wanakodisha kule, maana ni mlimani
Ni kweli viazi mviringo vinastawi vzr, pia kabichi, maharage, conflower,kiujumla kila kitu chamboga mboga moro mjini kinatoka mgeta.
kuhusu ardhi sijui kwa kweli km wanakodisha kule, maana ni mlimani