Shamba linauzwa Malinyi-Morogoro.

Shamba linauzwa Malinyi-Morogoro.

Bhbm

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2009
Posts
714
Reaction score
210
Wakuu nauza shamba nzuri, liko kwenye halo ya unyevunyevu wakati wote. Ni lenye ukubwa wa hekari 20 na kila moja ni 70,000. Ni mashamba yaliyopimwa na serikali ya kijiji. Kama utahitaji basis ni PM au nitafute kwa no. 0716 888288
 
Hebu elezea mahali lilipo ili hata tusiojua vizuri tujue, malinyi ipo maeneo gani hapo moro, je ni poli au limefywekwa?
 
Malinyi iko wilaya ya ulanga morogoro. Unapita Ifakara na kuvuka mto kilombero then unaenda malinyi. Ni shamba jipya halijawahi kulimwa. Ila linafaa hata kwa mifugo kwani maji yapo jirani sana
 
mkuu nipo tanga nalihitaj naweza kukutafta after 2 weeks uniuzie?
 
Back
Top Bottom