Richard Rabbo
New Member
- Aug 16, 2017
- 4
- 0
Shamba lipo eneo la kijiji cha Soga-Kongowe Kibaha karibu na panapojengwa mradi wa reli ya kisasa ya standard gauge. jumla zipo ekari tano na kila ekari moja ni shilingi milion sita (6,000,000/=) mazungumzo yapo. huduma muhimu kama maji, umeme na barabara safi zinapatikana na pia karibu na shamba hilo kuna shule ya sekondari. kwa anayehitaji anitafute kwa namba 0717 330230