Shamba linauzwa Kilimanjaro

Shamba linauzwa Kilimanjaro

KIA kuna mgogoro kati ya serikali na maasai wamiliki wa ardhi eneo lote hilo wanasema ni la uwanja wa ndege na waliwataka waondoke sasa hilo eneo lako unaachia ili mgogoro ubaki kwa utakayemuuzia au hapo kwako hamna huo mgogoro wa mipaka katiya serikali na Maasai
Huoo mgogoro hakuna kwenye eneo langu na tangu nilimiliki nimelima miaka hadi miaka sijawai kupata mgogoro wowote,...kwa Mteja lazima aje ajiakikishie
 
Pole kwa majukumu ndugu zangu
.
Ninauza Shamba langu lenye ukubwa wa heka 4 .
Shamba Lina rutuba ya kutosha na linafaa kwa kilimo cha mazao aina nyingi, ni flat area.
-Shamba lipo KIA ni umbali wa dakika 7-10 kwa kutembea kwa miguu kutoka KIA stend (Barabara ya Lami ya Moshi to Arusha) hadi hapo shambani , kwa wanaopajua KIA stendi ni mita kama 200 kutoka Tanesco.
- Kijiji cha Sanya station.
-Karibu na Shamba (mita 12) kuna Umeme, na maji yapo umbali wa kama mita 700 kutoka hapo shambani.
-Shamba halina mgogoro wowote na Nina vibali vyote vya umiliki, kwa sasa yamestawi mazao ya maharage, alizeti na mahindi.
*Bei nauza kwa milioni 14.5 kwa Mteja aliye serious tunaweza kuongea ikashuka kidogo*.
-Shamba linauzwa lote. Au heka 3 tunaweza kuelewana.
Asante.

Namba yangu ya simu: 0757620622.
Ukitoka pale stand kupandisha umeruni, mita 100 utakua labda uko mnara wa Simu pale, na mita 100 zingine utakua uko sokoni hata matangini hufiki. Sasa wewe uko Wapi exactly?
 
KIA kuna mgogoro kati ya serikali na maasai wamiliki wa ardhi eneo lote hilo wanasema ni la uwanja wa ndege na waliwataka waondoke sasa hilo eneo lako unaachia ili mgogoro ubaki kwa utakayemuuzia au hapo kwako hamna huo mgogoro wa mipaka katiya serikali na Maasai
Ukitoka Moshi kwenda Arusha, upande wa kushoto ndiko liliko eneo la uwanja, kulia ni makazi ya watu na mashamba.
 
Aah kumbe mimi nimepita njia hiyo mda mrefu bado nachanganya
No,
Unaanza Boma kwanza kama watokea Moshi, kisha Kwa Wasomali, Mijohoroni, ndio KIA halafu Kibaoni, King'ori, Kikatiti, USA River, etc mpaka Arusha
 
Ukitoka Moshi kwenda Arusha, upande wa kushoto ndiko liliko eneo la uwanja, kulia ni makazi ya watu na mashamba.
Kwa hiyo shamba liko upande wa kulia ukitoka Moshi kwenda Arusha kama ndo hivyo sawa basi nicheki inbox tuongee
 
Kwa hiyo shamba liko upande wa kulia ukitoka Moshi kwenda Arusha kama ndo hivyo sawa basi nicheki inbox tuongee
Mie sio mwenye Shamba, Ila kwa jinsi nlivyoelewa maelezo ya mwenye Shamba, Ngoja aje.
 
Hivi pale kia pakame namna ile mawe matupu unasema panarutuba?
Ni vizur uje uone mwenyewe rafik
KIA kuna mgogoro kati ya serikali na maasai wamiliki wa ardhi eneo lote hilo wanasema ni la uwanja wa ndege na waliwataka waondoke sasa hilo eneo lako unaachia ili mgogoro ubaki kwa utakayemuuzia au hapo kwako hamna huo mgogoro wa mipaka katiya serikali na Maasai
Mkuu mambo ya kujilidhisha na ardhi ni raisi sana unaenda kwenye idara ya ardhi wale wanakuwa wanajua hali ya mipango yote ya ardhi ,ndiyo maana nimesema hapo juu kwamba eneo langu sijawai kuingia mgogoro wowote na mtu atajiridhisha kabla ya kununua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom