samlai
Senior Member
- Feb 22, 2013
- 149
- 98
Nashukurun sana wanajavi siku chache niliweka tangazo la kuuzwa shamba eka 10 nashukuru mnunuzi kapatina maana mwenye shamba alikuwa namatatizo anauguza kwaiyo ilibidi mgonjwa wake kwenda kutibiwa India na pesa alikuwa hana kweli aseti nifaida.
Nawashukuru sana. Ila kunazingine tano zinauzwa million 3 kwa kila heka. Ni sehemu salama unaweza kujenga au kulima matikiti maji yapo mchanga upo.
Nawashukuru sana. Ila kunazingine tano zinauzwa million 3 kwa kila heka. Ni sehemu salama unaweza kujenga au kulima matikiti maji yapo mchanga upo.