Shamba Linauzwa(Bagamoyo)

Shamba Linauzwa(Bagamoyo)

SOKONI

Senior Member
Joined
May 23, 2013
Posts
171
Reaction score
40
Wakuu kuna shamba linauzwa lipo bagamoyo njia ya kwenda msata. Ni km chache kutoka bagamoyo mjini. Eka moja 700,000/= zipo heka 150 mwenyekuhitaji tuwasiliane
 
Wazee mbona hamni pm kuhusu hili shamba..? naliuza bhana lipo njia ya msata kubwa kweli kweli. siriaz jamani. bei inaweza kupangwa upya mezani.(maelewano yapo)
 
Mkuu lina vibali vya serikali za mitaa??

Mie nataka heka kadhaa hapo ila sio lote aiseee
 
mkubwa naomba utuhabarishe kuhusu vibali toka serikali ya mtaa?
 
Hayo maeneo si wanauzaga Tshs 400,000/- kwa heka ?
 
Wakuu kuna shamba linauzwa lipo bagamoyo njia ya kwenda msata. Ni km chache kutoka bagamoyo mjini. Eka moja 700,000/= zipo heka 150 mwenyekuhitaji tuwasiliane

Oya mzee viwanja bado vipo?
 
Umesema ni km chache kutoka bagamoyo,liko karibu na kijiji gani?umbali gani kutoka barabara ya lami,weka wazi mkuu ili tufanye biashara.
 
Wakuu kuna shamba linauzwa lipo bagamoyo njia ya kwenda msata. Ni km chache kutoka bagamoyo mjini. Eka moja 700,000/= zipo heka 150 mwenyekuhitaji tuwasiliane

kisha ukiuza we we unahamia wapi ninyi wazaramo ......mna akili za kushikiwa.....
 
kisha ukiuza we we unahamia wapi ninyi wazaramo ......mna akili za kushikiwa.....

si unajua mambo yetu tunamalizia kwenye chuchuzzz kama kwenye avatar yako apo juu,nimeipenda sana,inahamasisha
 
limepimwa hilo shamba??

kwa maana ipi, au unamaanisha lina hati..? kama hilo ndo swali hapana,na unaweza kulipia gharama za upimaji ukalipima kisha ukamalizia malipo kama unawasiwasi..
 
Umesema ni km chache kutoka bagamoyo,liko karibu na kijiji gani?umbali gani kutoka barabara ya lami,weka wazi mkuu ili tufanye biashara.

ukifika reli inapocross na barabara,ndo hapo hapo mtaani kwangu
 
Bado lipo?

kwa maana ipi, au unamaanisha lina hati..? kama hilo ndo swali hapana,na unaweza kulipia gharama za upimaji ukalipima kisha ukamalizia malipo kama unawasiwasi..
 
mkubwa naomba utuhabarishe kuhusu vibali toka serikali ya mtaa?
kule kwetu ni serikali ya kijiji hatuna mitaa, unahakikishiwa na mwenyekiti wa kijiji, na ukitaka unawaomba wakae kikao kukuidhinisha kuwa mnunuzi wa eneo husika unapewa nyaraka ambazo utapeleka wilayani kwaajili ya mchakato wa kupata hati. Watanzania changamkeni, huku wamekuja wazungu mmoja amenunua heak 250 mwinh=gine heka 100 na wameshatengeneza hati zao. barabara ya msata ikianza kutumika bei zitapanda sana

cc. asigwa
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom