Shamba linahitajika Wilaya ya Kisarawe

1302-40

Member
Joined
May 23, 2017
Posts
28
Reaction score
87
Habari zenu wakuu.

Uchumi wa kipindi hiki naona unabana, kutegemea chanzo kimoja cha mapato unakuwa mtihani mkubwa sana na umri unaenda kasi. Nataka nifanye uwekezaji kwenye ufugaji na kilimo.
Ninahitaji shamba litakalofaa kwa kilimo na ufugaji pia. Eneo liwe tambarare au karibia kuwa na tambarare, Pia lisiwe mbali na Makazi ya watu.

● Ukubwa wa eneo usipungue heka kumi. Ziwe kuanzia heka kumi na kuendelea.

● Eneo liwe wilaya ya kisarawe, kuanzia kazimzumbwi na isizidi Masaki.

● Umbali kutoka barabara kuu usizidi kilometa mbilli (2). (BARABARA YA KWENDA MWANARUMANGO)

- Mwenye eneo karibu PM.
 
Nipe 50m ila eka 4 hili lipo luhangai mwez ujao mavuno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasubiri wadau naona unamahitaji kama yangu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
shamba lipo mfuru

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ofa yako ni sh ngapi kiongozi zipo heka 10 masaki pale
 
Sawa mkuu. Mawasiliano?
 
Ingekuwa mkuranga boss ningekupa heka 20 zina mto pembezoni kwa 13m unanilipa nusu nusu kama pesa kamili haipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…