Shamba linahitajika - Iringa au Njombe

Shamba linahitajika - Iringa au Njombe

MD25

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2012
Posts
3,074
Reaction score
1,030
Habari wadau,

kuna rafiki yangu anahitaji shamba (la kununua) lenye wastani wa ukubwa wa hekari 15 - 20.

Dhumuni ya shamba hilo in kwa ajili ya kupanda mazao ya mboga mboga.

Mwenye connection yoyote naomba ani PM.

Asante
 
Back
Top Bottom