Shamba lenye Miti ya mbao linauzwa

Shamba lenye Miti ya mbao linauzwa

gwivaha

Member
Joined
Apr 29, 2017
Posts
47
Reaction score
17
IMG-20170706-WA0022.jpg
IMG-20170706-WA0031.jpg
IMG-20170706-WA0021.jpg
bei ni million 20 zipo eka 10
Linauzwa pamoja na Ardhi
Miti iliyopandwa ni aina ya pine
Na INA umri Wa miaka 7

Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0764426929,0655726929 na 0742188846
Napatikana mkoani NJOMBE

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
mkuu unauza ekari (ardhi plus miti) kwa millioni 2 tuu? okay kila la kheri

Sent from my Redmi Note 3 using JamiiForums mobile app
 
Hii miti ni ya mbao kweli mkuu?Mbona imekonda sana?
 
Fafanua,hiyo million 10 ni kwa zote ekari ama?

sent by IPhone 6 using jamii forum app
 
mkuu unauza ekari (ardhi plus miti) kwa millioni 2 tuu? okay kila la kheri

Sent from my Redmi Note 3 using JamiiForums mobile app
Ndio Ardhi+miti kwa eka tsh 2 milion

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Hii miti ni ya mbao kweli mkuu?Mbona imekonda sana?
Hii Miti haijatimia kuvuna, INA miaka 7 tu na ili uvune walau iwe na miaka 10
Na hii ni miti ya mbao hakika

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom