Shamba lenye Miti ya mbao linauzwa

Shamba lenye Miti ya mbao linauzwa

gwivaha

Member
Joined
Apr 29, 2017
Posts
47
Reaction score
17
Zipo ekar 12
Bei ni million 12
Aina ya Miti ni pine
Linauzwa pamoja na Ardhi
Lipo ktk kijiji cha image tarafa ya Lupembe mkoan NJOMBE
Kwa mahitaji piga 0764426929,0655726929 au 0742188846
 
Zipo ekar 12
Bei ni million 12
Aina ya Miti ni pine
Linauzwa pamoja na Ardhi
Lipo ktk kijiji cha image tarafa ya Lupembe mkoan NJOMBE
Kwa mahitaji piga 0764426929,0655726929 au 0742188846
Miti ina miaka mingapi?
 
Ambatanisha picha na majibu ya maswali yafuatayo
1. Shamba linamilikiwa na watu wangapi?
2. Shamba lina hati miliki?
3. Hakuna mgogoro wa zamani kuhusu ilo shamba au wa sasa?
4. Ekari moja kwa sasa ina wastan wa miti mingapi?
5. Je shamba lako liko sehemu sahii kulingani na ramani ya matumizi ya Ardhi ya eneo husika?
6. Shamba ni la urithi?

Ukijibu kwa ufasaha Wateja wenye nia utawapata japokuwa kwa wanunuzi wanaoishi mikoani siwashauri kwani watu wa eneo hili huwa na tabia kama za watu wa kibaha.

Yaani eneo ilo ilo linauzwa kwa watu 10 tofauti alafu muuzaji anatokomea kusikojulikana aka kibiti
 
Back
Top Bottom