Shamba lenye miti ya mbao aina ya pine linauzwa

Shamba lenye miti ya mbao aina ya pine linauzwa

Joined
Sep 15, 2016
Posts
16
Reaction score
17
Miti ina umri wa miaka 6
Lina ukubwa wa eka 110
Linauzwa tsh1500000 Kwa kila eka na Kwa mhitaji itambidi kununua kuanzia eka kumi na kuendelea
Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0764426929 au 0655726929
Shamba lipo mkoani njombe ktk kijiji cha Image
Inauzwa miti pamoja na ardhi
Kama unahitaji piga simu usitume sms kwani unaweza usijibiwe kwa wakati endapo ukituma sms
 
Mmmhhh....mkuu ukishuka mpaka m1 kwa heka ni pm
 
Miti ina umri wa miaka 6
Lina ukubwa wa eka 110
Linauzwa tsh1500000 Kwa kila eka na Kwa mhitaji itambidi kununua kuanzia eka kumi na kuendelea
Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0764426929 au 0655726929
Shamba lipo mkoani njombe ktk kijiji cha Image
Inauzwa miti pamoja na ardhi
Kama unahitaji piga simu usitume sms kwani unaweza usijibiwe kwa wakati endapo ukituma sms
Mku hii miti huwa inavunwa baada ya miaka mangapi?
 
Miti ina umri wa miaka 6
Lina ukubwa wa eka 110
Linauzwa tsh1500000 Kwa kila eka na Kwa mhitaji itambidi kununua kuanzia eka kumi na kuendelea
Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0764426929 au 0655726929
Shamba lipo mkoani njombe ktk kijiji cha Image
Inauzwa miti pamoja na ardhi
Kama unahitaji piga simu usitume sms kwani unaweza usijibiwe kwa wakati endapo ukituma sms


Aisee nataka sana shamba la miti lakini liwe na mauzauza fulani hivi kama mandondocha kufugwa humo na mifupa ya binadamu iwepo kila sehemu humo shambani......hili shamba linakidhi hayo matakwa? Ni PM kama Yes.
 
Aisee nataka sana shamba la miti lakini liwe na mauzauza fulani hivi kama mandondocha kufugwa humo na mifupa ya binadamu iwepo kila sehemu humo shambani......hili shamba linakidhi hayo matakwa? Ni PM kama Yes.
Mmmmhh aisee hilo linapatikana kwenu huku hakuna
 
Miti ina umri wa miaka 6
Lina ukubwa wa eka 110
Linauzwa tsh1500000 Kwa kila eka na Kwa mhitaji itambidi kununua kuanzia eka kumi na kuendelea
Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0764426929 au 0655726929
Shamba lipo mkoani njombe ktk kijiji cha Image
Inauzwa miti pamoja na ardhi
Kama unahitaji piga simu usitume sms kwani unaweza usijibiwe kwa wakati endapo ukituma sms
Kuna kijiji cha Image ktk wilaya ya Kilolo, naomba ufafanuzi zaidi iwapo kijiji hiki kipo Njombe au Kilolo mkoa wa Iringa
 
Miti ina umri wa miaka 6
Lina ukubwa wa eka 110
Linauzwa tsh1500000 Kwa kila eka na Kwa mhitaji itambidi kununua kuanzia eka kumi na kuendelea
Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0764426929 au 0655726929
Shamba lipo mkoani njombe ktk kijiji cha Image
Inauzwa miti pamoja na ardhi
Kama unahitaji piga simu usitume sms kwani unaweza usijibiwe kwa wakati endapo ukituma sms
Mkuu hebu nifafanulie kwa heka moja ina miti mingapi na hapo ilipo inahitaji garama gani nikiilipia toka kwako kwasasa mpka kuja kuivuna! Naomba jibu tafadhali!
 
Kijiji cha image kipo njombe rural, kata ya ninga, tarafa ya lupembe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom