SHAMBA LA MITI YA MBAO EKARI 15 LINAUZWA.

Iansr

Member
Jan 20, 2019
5
0
Habari wakuu, Nina shamba la miti ya mbao aina ya pine lenye umri wa miaka mitano lililopo Mkoa wa Kagera - wilaya ya Misenyi pembezoni mwabarabara(sehemu inayofikika kirahisi). Kwa yoyote mwenye uhitaji naomba anicheki PM kwa mawasiliano zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…