I Iansr Member Jan 20, 2019 5 0 Jan 21, 2019 #1 Habari wakuu, Nina shamba la miti ya mbao aina ya pine lenye umri wa miaka mitano lililopo Mkoa wa Kagera - wilaya ya Misenyi pembezoni mwabarabara(sehemu inayofikika kirahisi). Kwa yoyote mwenye uhitaji naomba anicheki PM kwa mawasiliano zaidi. Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakuu, Nina shamba la miti ya mbao aina ya pine lenye umri wa miaka mitano lililopo Mkoa wa Kagera - wilaya ya Misenyi pembezoni mwabarabara(sehemu inayofikika kirahisi). Kwa yoyote mwenye uhitaji naomba anicheki PM kwa mawasiliano zaidi. Sent using Jamii Forums mobile app
M Morinyo JF-Expert Member Aug 26, 2011 2,797 1,592 Jan 21, 2019 #2 Hujataja bei Sent using Jamii Forums mobile app
I Iansr Member Jan 20, 2019 5 0 Jan 21, 2019 Thread starter #3 M35 Mkuu Sent using Jamii Forums mobile app