Shamba la Miti linauzwa

Shamba la Miti linauzwa

JACKBIZZO

Member
Joined
Jul 11, 2013
Posts
83
Reaction score
12
Habari wadau nauza shamba la hekari moja na nusu lililo na miti 1000 aina ya pain. Miti ina miaka mitatu shamba liko iringa.. kwa mawasiliano ; 0768181757
Karibuni sana.......
 
Habari wadau nauza shamba la hekari moja na nusu lililo na miti 1000 aina ya pain. Miti ina miaka mitatu shamba liko iringa.. kwa mawasiliano ; 0768181757
Karibuni sana.......

Nadhani ni pine
 
habari wadau ....nauza shamba lenye miti aina ya paini iliyo na miaka mitatu, shamba lina hekari moja na nusu. Miti imekubali vizuri liko Iringa.....bei ni Tsh/= milioni moja na laki tatu tu.....
Kwa mawasiliano
+255768181757 karibuni sana wadau.....
 
Tupia kapicha tuchangamkie issue
 
habari wadau ....nauza shamba lenye miti aina ya paini iliyo na miaka mitatu, shamba lina hekari moja na nusu. Miti imekubali vizuri liko Iringa.....bei ni Tsh/= milioni moja na laki tatu tu.....
Kwa mawasiliano
+255768181757 karibuni sana wadau.....
 
habari wadau ....nauza shamba lenye miti aina ya paini iliyo na miaka mitatu, shamba lina hekari moja na nusu. Miti imekubali vizuri liko Iringa.....bei ni Tsh/= milioni moja na laki tatu tu.....
Kwa mawasiliano
+255768181757 karibuni sana wadau.....
iringa kubwa. weka details. kuna uwezo wa kuongeza ukubwa wa shamba au hiyo 1.5 acre ndiyo imetoka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom