Shamba la heka 29 linauzwa bei chee!

Shamba la heka 29 linauzwa bei chee!

joseef

Member
Joined
Jun 12, 2013
Posts
83
Reaction score
10
Shamba la heka 29 ambalo baadhi ya sehemu yake imepandwa miti 2300 ya mbao ambayo kwa sasa imemalza miaka 3 toka ipandwe linauzwa kwa sh million 40 jumla na miti yake.

Shamba hilo linapatikana Geita mjini.

Kwa anayehitaji ni cheki hewani kwa namba 0769031693 kwa masiliano zaidi!
 
Samahani. ...huku utachelewa kupata mteja

Ningekushauri ukabandike hilo tangazo Lumumba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom