Shamba la ekari 100 za pamoja linauzwa

Shamba la ekari 100 za pamoja linauzwa

The GT

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2015
Posts
461
Reaction score
532
Lipo mkoani Iringa wilaya ya kilolo kijiji cha mkalanga ni zuri sana kwa matumizi ya kilimo cha maharage,lakini pia zuri sana kwa kupanda miti ya mbao na kizuri zaidi waweza panda hata miti ya matunda hususani parachichi bei ni laki 2 kwa kila ekari mwambie na mwenzako mara uonapo tangazo hili nyote mnakaribishwa.
 
Lipo mkoani IRINGA wilaya ya KILOLO kijiji cha MKALANGA.Ni zuri sana kwa matumizi ya kilimo cha maharage,lakini pia zuri sana kwa kupanda miti ya mbao na kizuri zaidi waweza panda hata miti ya matunda hususani parachichi.Bei ni laki 2 kwa kila ekari.Mwambie na mwenzako mara uonapo tangazo hili.Nyote mnakaribishwa.
Je limepimwa?lina miti au visiki au ni shamba linalolimwa misimu yote nikimaanisha ni Shamba safi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom