shamba lenye ukubwa wa Ekali 2 na nusu lenye vitu vifuatavyo :- Nyumba ambayo haijakwisha na upande umeezekwa na watu waishi, Minazi 20 , Michungwa 10 , Miembe 4 na Mimea mingine mingi Mhusika ana tatizo lake ameamua kuliuza Shamba lilo umbali wa kilometa moja kutoka barabara kuu ya Morogoro karibu na Hos[itali ya Burere kwa Mawasiliano na bei piga simu namba 0754 286 329 au 0714 973 871