Half american JF-Expert Member Sep 21, 2018 26,210 68,559 Jul 16, 2021 #1 Shamba linauzwa Liko- Tanga Tanzania. Mahali- Handeni Eneo- Kabuku Umbali km 6 toka barabara kuu ya lami. Ukubwa wake ni heka 100 Nyaraka za umiliki lina hati ya kijiji. Ndani yake lina; Mifugo;-mbuzi 120, kuku 40 Mabanda pamoja na pikipiki za uendeshaji shambani. Pamoja na mazao mbalimbali kama mahindi, mboga mboga nk. Bei Tshs. mil 120
Shamba linauzwa Liko- Tanga Tanzania. Mahali- Handeni Eneo- Kabuku Umbali km 6 toka barabara kuu ya lami. Ukubwa wake ni heka 100 Nyaraka za umiliki lina hati ya kijiji. Ndani yake lina; Mifugo;-mbuzi 120, kuku 40 Mabanda pamoja na pikipiki za uendeshaji shambani. Pamoja na mazao mbalimbali kama mahindi, mboga mboga nk. Bei Tshs. mil 120
Restless Hustler JF-Expert Member Apr 9, 2017 4,744 18,005 Jul 16, 2021 #2 Kijiji hakina mamlaka ya kisheria kummilikisha mtu zaidi ya ekari 50
kyemo JF-Expert Member Dec 10, 2010 570 718 Jul 17, 2021 #3 fearlessfighter said: Kijiji hakina mamlaka ya kisheria kummilikisha mtu zaidi ya ekari 50 Click to expand... kwa hyo kuna mtu anataka kupigwa au?
fearlessfighter said: Kijiji hakina mamlaka ya kisheria kummilikisha mtu zaidi ya ekari 50 Click to expand... kwa hyo kuna mtu anataka kupigwa au?
Restless Hustler JF-Expert Member Apr 9, 2017 4,744 18,005 Jul 17, 2021 #4 kyemo said: kwa hyo kuna mtu anataka kupigwa au? Click to expand... Probably
Half american JF-Expert Member Sep 21, 2018 26,210 68,559 Jul 30, 2021 Thread starter #5 fearlessfighter said: Probably Click to expand... Weka reference
Rohombaya JF-Expert Member Jul 4, 2011 13,056 10,342 Jul 30, 2021 #6 kyemo said: kwa hyo kuna mtu anataka kupigwa au? Click to expand... Dah...kihisabati... Mbuzi 120 kibongobongo tayari ana 120m...si bure🤣🤣🤣
kyemo said: kwa hyo kuna mtu anataka kupigwa au? Click to expand... Dah...kihisabati... Mbuzi 120 kibongobongo tayari ana 120m...si bure🤣🤣🤣
Restless Hustler JF-Expert Member Apr 9, 2017 4,744 18,005 Jul 30, 2021 #7 Rohombaya said: Dah...kihisabati... Mbuzi 120 kibongobongo tayari ana 120m...si bure Click to expand... Rohombaya said: Dah...kihisabati... Mbuzi 120 kibongobongo tayari ana 120m...si bure🤣🤣🤣 Click to expand... Yeah!
Rohombaya said: Dah...kihisabati... Mbuzi 120 kibongobongo tayari ana 120m...si bure Click to expand... Rohombaya said: Dah...kihisabati... Mbuzi 120 kibongobongo tayari ana 120m...si bure🤣🤣🤣 Click to expand... Yeah!
lindunduru JF-Expert Member Aug 2, 2015 392 551 Jul 30, 2021 #8 fearlessfighter said: Kijiji hakina mamlaka ya kisheria kummilikisha mtu zaidi ya ekari 50 Click to expand... Inaruhusiwa kwa miaka 33 tu
fearlessfighter said: Kijiji hakina mamlaka ya kisheria kummilikisha mtu zaidi ya ekari 50 Click to expand... Inaruhusiwa kwa miaka 33 tu
Restless Hustler JF-Expert Member Apr 9, 2017 4,744 18,005 Jul 30, 2021 #10 lindunduru said: Inaruhusiwa kwa miaka 33 tu Click to expand... Kasome sheria ya ardhi namba 4 na namba 5 ya mwaka 1999. Limit ya Kijiji ni ekari 50 tu. Ikizidi hata nusu ekari inakuwa ardhi ya jumla na siyo chini ya mamlaka ya Kijiji Tena.
lindunduru said: Inaruhusiwa kwa miaka 33 tu Click to expand... Kasome sheria ya ardhi namba 4 na namba 5 ya mwaka 1999. Limit ya Kijiji ni ekari 50 tu. Ikizidi hata nusu ekari inakuwa ardhi ya jumla na siyo chini ya mamlaka ya Kijiji Tena.