Ninauza Shamba/eneo heka 2 maeneo ya Bukumbi-Mwanza,nikaribu na barabarani,anayehita kuona ama maelezo zaidi unaweza wasiliana na mimi kwa email:misasophie@yahoo.com
... vipi ukitupiamo hapahapa bei ya kuanzia ili tuvutike kufanya mawasiliano ya email? Eneo ni Mita za Mraba ngapi? Ni Bukumbi ipi, karibu na njiapanda ya kwenda Bukumbi "Senta"/Hospitali, Kalwande ama?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.