Shaka: Nguvu ya CCM ndo inayoipa madaraka

Shaka: Nguvu ya CCM ndo inayoipa madaraka

MASIGA

Senior Member
Joined
Aug 29, 2015
Posts
130
Reaction score
281
Kuna vyama Afrika vilipopata utawala vikapuuza wananchi na vigogo wake wakifurahia kutawala bila kujua ili uendelee kushika madaraka nguvu ya chama ni muhimu . CCM hakikufanya na hakitafanya kosa hilo badala yake hadi sasa kinatimiza wajibu huo ndio maana kinaendelea kuaminiwa na kukubalika na watanzania"

"Hamuwezi kuanzisha vyama mwaka 1992 mshindane na chama kilichoundwa kutokana na msingi madhubuti wa vyama vilivyoasisi Taifa (TANU 1954 ASP 1957) huku wanasiasa wake wakijikweza wana ubavu wa kushinda uchaguzi, anaeota hivyo hiyo ni njozi ya mchana na yenye jinamizi mbaya, CCM bado ndio muarobaini wa maendeleo ya watanzania"


Shaka Hamdu Shaka
Katibu CCM Morogoro
#DarasaLaItikadiVijanaSUA
IMG-20181202-WA0027.jpeg
 
Umenena vyema kiongozi. Hongera kwa wana CCM SUA kwa darasa zuri. Nimekumbuka mbali sana nilipokuwa hapo SUA na madarasa kama haya tuliyapata.
 
Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu ni miaka 3 hakuna ongezeko la mishahara na maslahi yenu inazidi kandamizwa.
 
Ungejua hata watumishi wapo wakiwa peke yao wanamfurahia jpm. Shida inakuja kwbye hayo madaraja sasa
Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu ni miaka 3 hakuna ongezeko la mishahara na maslahi yenu inazidi kandamizwa.
 
Ni kweli kuhodhi DOLA kupitia mapungufu ya Katiba.
 
Aysee.. Embu uliza Lubuva na Jecha wakwambie kama kweli hua hiko chama kinashinda kwa kura halali. Bora Ungesema chama kinapendwa na kushindishwa na Nec na policcm
 
Kuna vyama Afrika vilipopata utawala vikapuuza wananchi na vigogo wake wakifurahia kutawala bila kujua ili uendelee kushika madaraka nguvu ya chama ni muhimu . CCM hakikufanya na hakitafanya kosa hilo badala yake hadi sasa kinatimiza wajibu huo ndio maana kinaendelea kuaminiwa na kukubalika na watanzania"

"Hamuwezi kuanzisha vyama mwaka 1992 mshindane na chama kilichoundwa kutokana na msingi madhubuti wa vyama vilivyoasisi Taifa (TANU 1954 ASP 1957) huku wanasiasa wake wakijikweza wana ubavu wa kushinda uchaguzi, anaeota hivyo hiyo ni njozi ya mchana na yenye jinamizi mbaya, CCM bado ndio muarobaini wa maendeleo ya watanzania"


Shaka Hamdu Shaka
Katibu CCM Morogoro
#DarasaLaItikadiVijanaSUAView attachment 953627
Sio kweli mkuu hatudanganyiki ccm haina nguvu
 
Kuna vyama Afrika vilipopata utawala vikapuuza wananchi na vigogo wake wakifurahia kutawala bila kujua ili uendelee kushika madaraka nguvu ya chama ni muhimu . CCM hakikufanya na hakitafanya kosa hilo badala yake hadi sasa kinatimiza wajibu huo ndio maana kinaendelea kuaminiwa na kukubalika na watanzania"

"Hamuwezi kuanzisha vyama mwaka 1992 mshindane na chama kilichoundwa kutokana na msingi madhubuti wa vyama vilivyoasisi Taifa (TANU 1954 ASP 1957) huku wanasiasa wake wakijikweza wana ubavu wa kushinda uchaguzi, anaeota hivyo hiyo ni njozi ya mchana na yenye jinamizi mbaya, CCM bado ndio muarobaini wa maendeleo ya watanzania"


Shaka Hamdu Shaka
Katibu CCM Morogoro
#DarasaLaItikadiVijanaSUAView attachment 953627

Hayo macho vipi?
 
Back
Top Bottom