nentewene
Senior Member
- Jun 9, 2017
- 144
- 94
Nakupenda ugali dagaa.. sijui Kama unajua.
Npo tayar kulala njaa.. Kuliko kula vitumbua.
Wew kwangu nishujaa..sitakusaliti kwa kibua.
Nikuonapo nitakaa..nashati nitavua.
Katu sitakugaa..hata wakinitumbua.
Utamu wako nibalaa..mwaka huu utaniua.
Tumboni ukijaa..nabaki kucheua.
Ngozi yangu inang'aa..Wala sikwakujichubua.
Ila niwew ugali dagaa..hawakuelewi wakishua.
Npo tayar kulala njaa.. Kuliko kula vitumbua.
Wew kwangu nishujaa..sitakusaliti kwa kibua.
Nikuonapo nitakaa..nashati nitavua.
Katu sitakugaa..hata wakinitumbua.
Utamu wako nibalaa..mwaka huu utaniua.
Tumboni ukijaa..nabaki kucheua.
Ngozi yangu inang'aa..Wala sikwakujichubua.
Ila niwew ugali dagaa..hawakuelewi wakishua.