kamainaumasema
Member
- Sep 22, 2014
- 75
- 19
Semeni kipi nifanye, mheshimiwa ajue
Kwanini atuumize, watanganyika mseme
Eskroo majangani, imeniumiza uume
Nataka kujilipua, J. Kikwete mwambieni
Nataka kujilipua, J. Kikwete mwambieni
Nimechoka kujutia, mafisadi serikalini
Busha sintafikiria, nimeumizwa moyoni
Nataka kujilipua, J. Kikwete mwambieni
Huyu chenge ndio nani? Atufanyae punguani!
Tibaijuka ni nini? Eti kawa hayawani
Maswi nae kulikoni! Njaa hii, njaa gani?
Nataka kujilipua, J. Kikwete mwambieni
Kwanini atuumize, watanganyika mseme
Eskroo majangani, imeniumiza uume
Nataka kujilipua, J. Kikwete mwambieni
Nataka kujilipua, J. Kikwete mwambieni
Nimechoka kujutia, mafisadi serikalini
Busha sintafikiria, nimeumizwa moyoni
Nataka kujilipua, J. Kikwete mwambieni
Huyu chenge ndio nani? Atufanyae punguani!
Tibaijuka ni nini? Eti kawa hayawani
Maswi nae kulikoni! Njaa hii, njaa gani?
Nataka kujilipua, J. Kikwete mwambieni