Shairi: Mtatiro..

Mayalla yaaani njaaaa,mzee mwenzangu baada ya kuzikunja za nane nane naona unapopoa mdogo mdogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mkuu tutalituaje hili tatizo kwa haya matatizo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni matatizo kila sehemu nini mantiki ya kuhama?
Ufinyu wa fikra,uvumilivu na ubunifu. Njaa na uviziaji wa fursa kichocheo.
 
Na mwishowe Tujiachie linchi lijiendee litakavyo maana wote tatizo!
 
Kama ni matatizo kila sehemu nini mantiki ya kuhama?
Ufinyu wa fikra,uvumilivu na ubunifu. Njaa na uviziaji wa fursa kichocheo.
 
Wakurya wa dar ktk ubora wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe mbona hujapewa hizo teuzi wakati ni msukuma mwenzako?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza sio kila anayejiita Msukuma ama anayedhaniwa kuwa ni Msukuma, ni lazima kweli ni Msukuma!. Kukulia mahali, na kuizungumza lugha ya hapo ulipokulia, hakukufanyi uwe mtu wa kabila hilo!.

Hivyo kama ulidhani mimi ni Msukuma, sii lazima niwe ni Msukuma kweli!.

Tatu, sio kila Msukuma, ni kujipendekeza type na kujikombakomba kusaka uteuzi!.
Nitakapoanza kusaka uteuzi, Kwanza nitajiunga CCM, halafu ni nitoke full kujikomba komba na kujipendekeza with full kufagilia.

P.
 
HIVI MAYALLA MAANA YAKE NINI? MAANA SI KWA BETI HIZI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana mkuu Pascal Mayalla leo umenifumbua macho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…