Shairi: Msiba

Si Msiba peke yake! Akina Ngurumo, Mange, Lissu, Lema, Mchungaji Msigwa, nk. wathibitiwe kwani tabia zao zinafanana na Msiba!
 
Heri kuangalia kipindi cha ng'ombe kupandishwa kuliko kupoteza muda kumsikiliza huyu!
 
Mbn nyie mnafanya sana press tena na maneno ya hovyo zaidi lakini hakuna watu wanawazuia?
 
Sema pamoja haya mambo yanatokea hawajawai kuigusa family za maaskari wa JWTZ.
Wakiwagusa family za maaskari wa JWTZ ndio tutapata jibu kamili
Na huko hawezi kugusa anajua ndio wanaomuweka madarakani
 
Kama kuna uchochezi huu ndo uchochezi na kusababisha chuki huyu in shetani kabisa saws na shetani aliyewafarakanisha wanadamu na muumba wao
 
Wa kuambiwa ni Maliyamungu Bashite amkataze kwani ndiyo yeye anayemtuma kwenye kurupoka Uzushi
 
Yupo mtu mmoja alianza kutajataja na kuchafua watu bila uhalali wa kufanya hivyo,ila ametulia na anaonekana kuwa msamaria mwema

Sasa kama hakuamua kutulia atakua labda ametulizwa,hivyo hata huyo mpiga kelele asipotulia atatulizwa

Muacheni atajetaje watu ila asije akajaribu kutaja watu wa maeneo jirani na TANESCO pale Ubungo,....ATATULIZWA
 
Msiba ni mmoja tu, ila upande wa pili wanaofanana naye ni Lissu, Lema, Mange, Msigwa, wako wengi, hawa nao ndio kabisaaa waharibifu wa umoja wa taifa
 
Tujadili HOJA zake. Tuache Kumjadili MUSIBA kama Musiba.
 
Najua ukweli unawauma tuuu
tulie tuwajue hao wanaojiita tume ,Mara G3
Mtu kama msiba ni watu muhimu sana katika taifa hili wakipatkana akina msiba hata watatu tuuu wanatosha xana mungu amjalie afya njema ili tujue mengi yaliyojifcha
 
Si Msiba peke yake! Akina Ngurumo, Mange, Lissu, Lema, Mchungaji Msigwa, nk. wathibitiwe kwani tabia zao zinafanana na Msiba!
Lisu mlitaka kumuua, lema na msigwa kila siku mnawakamata, Ngurumo amewakimbia nyie watesi na Mange angekuwa Tz sijui kama angekuwa hai! Na mara nyingi hawa husema ukweli msioupenda! Hivi haya maneno ya Musiba yangesemwa na Lema dhidi ya wana ccm hali ingekuwaje? Kuna wakati huyu Lema alieleza ndoto yake kuhusu Pobga kilichompata kila mtu anakijua! Kwa nini Musiba anaachwa anabwabwaja? Polisi wamkamate asaidie kutoa ushahidi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…