KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,213
- 56,849
1.Kiburi si muungwana,kukaidi ya mabwana!
unduli si karama,kuutupa ushauri mwanana,
sifuri si kazi sana,kuipata huitaji chutama!.
Moyo umeniweza!
2.nisemayo yaakili,nitendayo sifikiri!
umeitia yangu dosari,machoni sioni mbali
umenikaba kwa kabari,uhai wangu sasa hatari!
3.moyo umeniweza,umenitoa tanga hadi muheza!
sifa yangu umeipoteza,kumfikiria mauwacheza!
sijiwezi hata kwa pweza,mla ndizi kwa chenza!.
Moyo umeniweza.
4.narudi...
unduli si karama,kuutupa ushauri mwanana,
sifuri si kazi sana,kuipata huitaji chutama!.
Moyo umeniweza!
2.nisemayo yaakili,nitendayo sifikiri!
umeitia yangu dosari,machoni sioni mbali
umenikaba kwa kabari,uhai wangu sasa hatari!
3.moyo umeniweza,umenitoa tanga hadi muheza!
sifa yangu umeipoteza,kumfikiria mauwacheza!
sijiwezi hata kwa pweza,mla ndizi kwa chenza!.
Moyo umeniweza.
4.narudi...