Shairi;moyo umeniweza

KENZY

JF-Expert Member
Dec 27, 2015
26,213
56,849
1.Kiburi si muungwana,kukaidi ya mabwana!
unduli si karama,kuutupa ushauri mwanana,
sifuri si kazi sana,kuipata huitaji chutama!.
Moyo umeniweza!

2.nisemayo yaakili,nitendayo sifikiri!
umeitia yangu dosari,machoni sioni mbali
umenikaba kwa kabari,uhai wangu sasa hatari!

3.moyo umeniweza,umenitoa tanga hadi muheza!
sifa yangu umeipoteza,kumfikiria mauwacheza!
sijiwezi hata kwa pweza,mla ndizi kwa chenza!.
Moyo umeniweza.

4.narudi...
 
Back
Top Bottom