gango2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2011
- 1,941
- 2,251
Nashangaa kuona mtu tena aliyejijengea sifa sana kama Shafii daudi, kila kukicha haishi kuliponda soka la bongo,
unajua watu kama hawa sometimes inageuka kuwa kero kwa sisi mashabiki hasa tunopenda soka letu,
ndio tunajua ni mchambuzi mzuri wa soka, but kuponda sana hakusaidiii kitu, KAMA UNAHISI UNAUWEZO ZAIDI
si utafute timu ufundishe tuone maujanja yako, au KAMA UNAONA UNAWEZA SANA SI KAOMBE NAFASI PALE TFF uwe
mshauri kuliko kila siku kuishia kuwaponda TFF katika vipindi vyenu huko clauds, upate hata nafasi ya ushauri
ndio TFF wanashindwa lakini lazima lazima ukubali ndio effort zao zimefika hapo so wanahitajika wengine zaidi kupanua
wigo wa mawazo.
Hebu cheki wachambuzi wenzako huko ulaya, mbona huwa hawapondi timu zao kama wewe, hebu jaribu kuangalia
ulivyoiponda TANZANIA siku ile zambia ilipochukua UBINGWA WA AFRICA as if wewe si mtanzania bana. yaani mtu unafikia
hatua ya kuapa eti 'TANZANIA HAUTEZI KWENDA KWENYE MICHUANO MIKUBWA LABDA ITOKEE WASHIRIKI WAPATIKANE KWA
KURUSHWA SHILINGI'
TUWEKE UZALENDO MBELE BWANA, KAMA MNAWEZA SI MTUSAIDI WABONGO KULIKO KUPONDA NA KUFAGILIA YA ULAYA!!!!! HAISAIDII KITU
unajua watu kama hawa sometimes inageuka kuwa kero kwa sisi mashabiki hasa tunopenda soka letu,
ndio tunajua ni mchambuzi mzuri wa soka, but kuponda sana hakusaidiii kitu, KAMA UNAHISI UNAUWEZO ZAIDI
si utafute timu ufundishe tuone maujanja yako, au KAMA UNAONA UNAWEZA SANA SI KAOMBE NAFASI PALE TFF uwe
mshauri kuliko kila siku kuishia kuwaponda TFF katika vipindi vyenu huko clauds, upate hata nafasi ya ushauri
ndio TFF wanashindwa lakini lazima lazima ukubali ndio effort zao zimefika hapo so wanahitajika wengine zaidi kupanua
wigo wa mawazo.
Hebu cheki wachambuzi wenzako huko ulaya, mbona huwa hawapondi timu zao kama wewe, hebu jaribu kuangalia
ulivyoiponda TANZANIA siku ile zambia ilipochukua UBINGWA WA AFRICA as if wewe si mtanzania bana. yaani mtu unafikia
hatua ya kuapa eti 'TANZANIA HAUTEZI KWENDA KWENYE MICHUANO MIKUBWA LABDA ITOKEE WASHIRIKI WAPATIKANE KWA
KURUSHWA SHILINGI'
TUWEKE UZALENDO MBELE BWANA, KAMA MNAWEZA SI MTUSAIDI WABONGO KULIKO KUPONDA NA KUFAGILIA YA ULAYA!!!!! HAISAIDII KITU