Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 9,856
- 8,876
Sasa hivi nimekuelewa tafsiri yako ya UNDERDOG
Mwanzo Nilikasirika saana,yaani unaiita Simba UNDERDOG yaani MBWA WA CHINI
Ujumbe wako Shafii waliokuwa hawajakuelewa naamini wamekuelewa kwa vitendo,unajua hata mwalim akiona mwanafunzi haelewi anampa mifano halisi kama sie enzi hizo unaenda na seti ya Maharage,Machungwa, nk kisha Mwalim anakuambia INJINA SOMA IYOOOOO,TANO MWALIM
Sasa Simba walienda na Seti ya Mipira mitano
Angalia Youtube manara alipokuwa akihojiwa Airport,yaani unajua kabisaaa Mganga kaisha mwambia hamtoki
Mabingwa wa Kihistoria Simba,Azam sijui kama mtachombeza tena kwa style hio
Budget ya Simba kwa Mwaka Billion 3,As Vita Billion 20+
Nasubiria wa kumtupia paka
Magazeti yanawapoteza wachezaji wetu na masifa
Kikosi A Soura wanawasubiria tena Algeria
Mwanzo Nilikasirika saana,yaani unaiita Simba UNDERDOG yaani MBWA WA CHINI
Ujumbe wako Shafii waliokuwa hawajakuelewa naamini wamekuelewa kwa vitendo,unajua hata mwalim akiona mwanafunzi haelewi anampa mifano halisi kama sie enzi hizo unaenda na seti ya Maharage,Machungwa, nk kisha Mwalim anakuambia INJINA SOMA IYOOOOO,TANO MWALIM
Sasa Simba walienda na Seti ya Mipira mitano
Angalia Youtube manara alipokuwa akihojiwa Airport,yaani unajua kabisaaa Mganga kaisha mwambia hamtoki
Mabingwa wa Kihistoria Simba,Azam sijui kama mtachombeza tena kwa style hio
Budget ya Simba kwa Mwaka Billion 3,As Vita Billion 20+
Nasubiria wa kumtupia paka
Magazeti yanawapoteza wachezaji wetu na masifa
Kikosi A Soura wanawasubiria tena Algeria