Shaffi Dauda ni kijani tupu

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,681
Reaction score
18,588
Mimi nilidhani yuko Qatar kumbe karudi ili kuhudhuria mkutano mkuu mkubwa wa CCM utakaofanyika tareh7-8/12/2022 mjini Dodoma.

Pia na mimi najiandaa kuanza safari usiku huu kutokea Chunya, Mbeya kupitia Tabora ili kuweza kuudhuria mkutano mkuu huo.

Nawasilisha kwa sasa safarini kutokea Chunya, Mbeya.

 
AJIRA ni kwenye SIASA ndio maana hata Wezi wanakimbilia
 
Matapeli wote wanakimbilia kwenye siasa za ccm
 

Msaka fursa tu huyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…